Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee azikwa akiwa ameketi kenya

Je,katika utamaduni wenu kiongozi wa kijiji,mganga wa kienyeji na mkulima mashuhuri huzikwa vipi?.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Afa akiwa ameketi kitini

WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam, likiwemo la mlinzi aliyetambuliwa kwa jina moja la Kamarada kufa akiwa amekaa kwenye kiti. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Camillius Wambura tukio hilo ni la jana saa 9:30 usiku katika maeneo ya Kijitonyama katika jengo la White Star.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azikwa akiwa hai India

Mtu mmoja nchini India amefariki baada ya wafanyikazi wa ujenzi ambao hawakumuona katika shimo kumzika akiwa hai.

 

11 years ago

GPL

MZEE GURUMO AZIKWA

Mwili wa marehemu Muhidin 'Maalim' Gurumo ukiwekwa eneo la makaburi ya Masaki-Kasarawe tayari kwa maziko. Mwili wa Mzee Gurumo umezikwa makaburi ya Masaki-Kisarawe, Pwani ambapo mamia ya watu wamehudhuria maziko ya nguli huyo wa muziki wa dansi aliyefariki dunia juzi Jumapili Aprili 13, 2014. 

 

11 years ago

GPL

MZEE SMALL AZIKWA, AACHA LAANA

Ustadhi akimuombea marehemu dua ya mwisho baada ya kuuhifadhi mwili wake kaburini. Stori: MWANDISHI WETU
HATIMAYE aliyekuwa nguli wa sanaa za maigizo Bongo, Said Ngamba ‘Mzee Small’ amezikwa jana katika Makaburi ya Tabata-Segerea jijini Dar es Salaam huku akiacha laana kwa tasnia ya maigizo.
Mzee Small alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili  (MNH) ambako alilazwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mzee auawa, azikwa uvunguni kitandani

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kufanya mauaji ya Pascal Luwi (70) , mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kombora Kijiji cha Ubiri Kata ya Mhonda Tarafa ya Turiani wilayani Mvomero na kumzika uvunguni mwa kitanda chumbani mwake.

 

11 years ago

GPL

PICHA YA KWANZA: MZEE SMALL AZIKWA MAKABURI YA SEGEREA, DAR

Mwili wa Mzee Small ukiwa kaburini. HATIMAYE mkongwe wa maigizo nchini, Mzee Small amezikwa katika makaburi ya Segerea, Dar ambapo mamia ya watu wamehudhuria maziko yake. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779)

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Mzee wa Kipepeo Tours akiwa vakesheni New York

 Mzee wa Kipepeo Tours akiwa vakesheni New York , hapa ni uwanja wa Barclays. Huyu ni mmoja wa wadau muhimu walioipa support Globu ya Jamii tangu inaanzishwa na hadi leo yuko nasi bega kwa bega Mzee wa Kipepeo na askari huko New York 

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee aliyeamka akiwa mochari India sasa afariki

Mwanamume aliyeamka kabla ya kufanyiwa upasuaji katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali moja nchini India sasa amefariki.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: JB Akiwa Nyumbani Kwao kwa Mzee Wake

Leo ikiwa ni siku ya Ijumaa kuu, Staa mkubwa kabisa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ame-share nasi picha hizi akiwa nyumbani kabisa  kwa mzee wake.

Katika maelezo yake JB amesema kuwa siku kama ya leo huwa wanautaratibu kama familia kwenda kanisani pamoja.

“Leo niko nyumbani kwa mzee, Ijumaa ya pasaka tuna utaratibu wa kwenda kanisani wote” JB aliandika mara baada ya kubandika picha huyo hap juu akiwa na mzee wake.

Picha huyo nyingine JB alieleza kuwa huyo ni mdogo wao wa mwisho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani