Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afa akiwa ameketi kitini

WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam, likiwemo la mlinzi aliyetambuliwa kwa jina moja la Kamarada kufa akiwa amekaa kwenye kiti. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Camillius Wambura tukio hilo ni la jana saa 9:30 usiku katika maeneo ya Kijitonyama katika jengo la White Star.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mzee azikwa akiwa ameketi kenya

Je,katika utamaduni wenu kiongozi wa kijiji,mganga wa kienyeji na mkulima mashuhuri huzikwa vipi?.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mlinzi afa akiwa kazini

p>WATU wawili wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la mlinzi aliyekuwa ameketi lindoni pake. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke,...

 

11 years ago

GPL

MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU

NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda
wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...

 

10 years ago

GPL

Bao la Cannavaro lamuinua kitini Kopunovic

Richard Bukos na Abdallah Juma, Tanga
BAO la kichwa lililofungwa kiufundi na beki na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union ya Tanga juzi, lilizua matuko mawili makubwa ambayo ni gumzo mkoani hapa. Beki na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Kwanza ni Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic, kusimama mara baada ya kuingia kwa bao hilo na...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBA AZINDUA KITINI CHA ELIMU YA MALEZI KWA FAMILIA TANZANIA

 Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb.) akikata utepe kuzindua Kitini cha Zana za Mawasiliano kuhusu Elimu ya Malezi kwa Familia, kushoto kwake ni Mhe. Dk. Pindi H. Chana (Mb) Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, kulia kwake ni Georgina Mtenga kutoka UNICEF na Anna T. Maembe Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.  Waziri akikabidhi Kitini hicho kwa Muwakilishi wa Watoto.
Wawakilishi wa Watoto, Wazazi, Waandishi wa Habari...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw

MOJA  ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua,  kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy

Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari  wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”

Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema  aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mrema afa na mtu

MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema, amekunjua upya makucha yake yaliyowahi kurarua viongozi wenzake akiwa katika NCCR-Mageuzi na TLP, na sasa amefukuza hadharani madiwani wawili wa chama chake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani