Afa akiwa ameketi kitini
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam, likiwemo la mlinzi aliyetambuliwa kwa jina moja la Kamarada kufa akiwa amekaa kwenye kiti. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Camillius Wambura tukio hilo ni la jana saa 9:30 usiku katika maeneo ya Kijitonyama katika jengo la White Star.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
Mzee azikwa akiwa ameketi kenya
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mlinzi afa akiwa kazini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIkwe79Xf*bMKoF4R9FbewQXeyINX6RzAGzhSuWOwPYDD5JgyVpjIVKOxRsXcX26sWJiOYVK9626gtBKHQVuzb2/mkewamtusumu.jpg?width=650)
MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor99FErhqx7naJR27fcWFNzEhgeITadF3H8bcYMy2Ikh32ROD5T4rLOeiRa5pVaEQA-4pBIp6i3k7ictTMliI-4yD/2.jpg?width=650)
Bao la Cannavaro lamuinua kitini Kopunovic
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Bxx01bUyqbU/VVVqDzrom7I/AAAAAAAHXYs/2dkE5Ers8-8/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
WAZIRI SIMBA AZINDUA KITINI CHA ELIMU YA MALEZI KWA FAMILIA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Bxx01bUyqbU/VVVqDzrom7I/AAAAAAAHXYs/2dkE5Ers8-8/s640/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I4x2EUCzEBE/VVVqD_K0TYI/AAAAAAAHXYY/qhEq39yI55A/s640/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uzAsHU4J5SM/VVVqEp9o10I/AAAAAAAHXYc/MS7WG8HpzTA/s640/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw
MOJA ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua, kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy
Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”
Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Mrema afa na mtu
MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema, amekunjua upya makucha yake yaliyowahi kurarua viongozi wenzake akiwa katika NCCR-Mageuzi na TLP, na sasa amefukuza hadharani madiwani wawili wa chama chake...