Bao la Cannavaro lamuinua kitini Kopunovic
![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor99FErhqx7naJR27fcWFNzEhgeITadF3H8bcYMy2Ikh32ROD5T4rLOeiRa5pVaEQA-4pBIp6i3k7ictTMliI-4yD/2.jpg?width=650)
Richard Bukos na Abdallah Juma, Tanga BAO la kichwa lililofungwa kiufundi na beki na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union ya Tanga juzi, lilizua matuko mawili makubwa ambayo ni gumzo mkoani hapa. Beki na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Kwanza ni Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic, kusimama mara baada ya kuingia kwa bao hilo na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Jan
Afa akiwa ameketi kitini
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam, likiwemo la mlinzi aliyetambuliwa kwa jina moja la Kamarada kufa akiwa amekaa kwenye kiti. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Camillius Wambura tukio hilo ni la jana saa 9:30 usiku katika maeneo ya Kijitonyama katika jengo la White Star.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Bxx01bUyqbU/VVVqDzrom7I/AAAAAAAHXYs/2dkE5Ers8-8/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
WAZIRI SIMBA AZINDUA KITINI CHA ELIMU YA MALEZI KWA FAMILIA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Bxx01bUyqbU/VVVqDzrom7I/AAAAAAAHXYs/2dkE5Ers8-8/s640/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I4x2EUCzEBE/VVVqD_K0TYI/AAAAAAAHXYY/qhEq39yI55A/s640/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uzAsHU4J5SM/VVVqEp9o10I/AAAAAAAHXYc/MS7WG8HpzTA/s640/unnamed%2B(27).jpg)
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Wanachama Simba wamtaka Kopunovic
NA BARAKA JAMALI, MTWARA
WANACHAMA wa klabu ya Simba Mtwara, wameuomba uongozi wa timu hiyo umrudishe kocha wao wa zamani, Goran Kopunovic, ili kuweza kuirejesha heshima ya timu hiyo ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, wanachama hao walisema kuwa uongozi wa timu hiyo umekuwa ukibadili makocha kila mwaka jambo ambalo limewasababishia kufanya vibaya katika mashindano mbalimbali wanayoshiriki, pia kumfukuza kocha mzuri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wh6b0fkgU13YYFkhBR*Pi3-DDRv62QBJv3H4WVkD-OKHqbw4cxSjsaq-OdC2KMWJejWg9zfQjQa608QuBzch3mrK60uRWZkQ/KOPU.jpg)
Kopunovic amkataa Joseph Owino
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKWLA2-wSIWN22AUyMzvtSrvhRfylWRtCsX09-wTkvbLcnSgQjOCCimXxoztckdGjmdnsGb7gjSILOzPW4I69kJ*/1.jpg)
Kopunovic amtaja aliyeimaliza Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzOqy3VcUw5ZNppL02DCzZoEx*Df7GwMEgLxpCoWNJYyC0meL49I8FJvuDZ0zvvBXlopTmmFTwnzFk4I7Jvt1nM-/DSC03519.jpg?width=750)
Kopunovic aiwahi Yanga Tanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX44g1qttVa4Q5XF4yVil8jpkTeGAf3Rl2d8bqoXze8ws3WgtwSOkm7pgHyaYO8S3qBJirZLVpqnxstnrsbIJv3v/k.jpg)
Kopunovic: Tambwe ni hatari aisee
10 years ago
Vijimambo20 May
Kopunovic alegeza masharti Simba.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Goran-20MAY2015.jpg)
Sizitaki mbichi hizi zimeanza kujitokeza kwa Mserbia Goran Kopunovic ambaye alishindwana na Simba baada ya kuitaka klabu hiyo kumpa Sh. milioni 100 za ada ya usajili ili kusaini mkataba mpya huku pia akiitaka kumuongeza mshahara na kuwa Sh. milioni 28 kwa mwezi.
Hata hivyo, wakati Simba ikiwa katika mchakato wa kusaka mbadala wake, imeelezwa kuwa kocha huyo ameanza kuwapigia simu viongozi wa klabu hiyo na kuwaambia ameshusha kiwango cha fedha anachotaka kulipwa ili...
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Kopunovic azuia kambi Simba SC