Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kopunovic aiwahi Yanga Tanga

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic. Na John Joseph
YANGA inatarajiwa kushuka uwanjani leo pale Mkwakwani mkoani Tanga, kukipiga dhidi ya Coastal Union, lakini upande wa pili ni kuwa makocha wa Simba, Goran Kopunovic na msaidizi wake, Selamani Matola wanatarajiwa kuwa uwanjani hapo kuishuhudia mechi hiyo. Yanga itakuwa mgeni wa Coastal, katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara ikiwa inajiandaa kukipiga dhidi ya BDF ya Botswana, katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Kopunovic ateta na Okwi aiangamize Yanga

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic Na Timu ya Championi,Dar es Salaam Katika mazoezi yaliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar, Kopunovic alionekana akifanya vikao zaidi ya mara tatu na mshambuliaji wa timu hiyo Emmanuel Okwi wakati mazoezi yakiendelea huku akionekana kumsisitiza jambo fulani. Waamuzi
Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi wa kati, Martin Saanya kutoka Morogoro, namba moja ni Soud Lila (DSM), namba...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA SC YA TAIFA SIYO YA TANGA COASTAL WAKAA NYUMBANI NA KUIPISHA YANGA IFANYE YAKE

Na Bertha Lumala,TangaKikosi cha mabingwa mara 24 waTanzania Bara, Yanga SC kimefanya kweli jijini hapa baada ya kuichapa Coastal Union bao 1-0 katika mechi pekee ya leo ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Ushindi huo umeifanya Yanga SCiwang’oekileleni Azam FC ikifikisha pointi 22,moja nyuma ya wanalambalamba ambao hata hivyo, wana mechi moja mkokoni.Katika mechi hiyo ya kiporo ya raundi ya 10 iliyopaswa kuchezwa jijini hapa Januari 10 lakini ikapigwa kalenda na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)...

 

9 years ago

Habarileo

Mgambo waipania Yanga Tanga

KOCHA Bakari Shime wa Mgambo JKT, amesema amekiandaa kikosi chake kuweka rekodi msimu huu kwa kuwa timu ya kwanza kuwafunga mabingwa watetezi Yanga katika pambano la Ligi Kuu litakalopigwa Mkwakwani Desemba 12.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga waivamia Mgambo Tanga

MMGM00291NA OSCAR ASSENGA, TANGA

ZIKIWA zimebakia siku sita kabla ya timu ya Yanga kukipiga na Mgambo JKT ya mkoani Tanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, mmoja wa vigogo wa timu hiyo ametua jijini humo wikiendi iliyopita tayari kabisa kuweka mazingira sawa ya kuibuka na ushindi.

Yanga inakabiliwa na mchezo huo mgumu utakaofanyika Uwanja wa Mkwakwani kwenye mwendelezo wa ligi hiyo, iliyosimama takribani mwezi mmoja na nusu kupisha michuano ya Kombe la Chalenji na mechi za mbili za timu ya...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yaenda kamili Tanga

MABINGWA wa soka Tanzania bara, Yanga leo wanaianza safari ya kwenda Tanga kusaka pointi sita muhimu. Yanga itakuwa na mechi na Mgambo Shooting keshokutwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kabla ya kumenyana na African Sports Jumatano ijayo kwenye uwanja huohuo.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga sc kamili yaifuata Mgambo Tanga

YangaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KIKOSI cha timu ya Yanga kinatarajiwa kuelekea jijini Tanga leo, tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mgambo Shooting uliopangwa kufanyika Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani mkoani humo.

Kwa mujibu wa kocha mkuu wa Yanga, Hans Van der Pluijm, ataondoka na wachezaji wote wa timu hiyo na anatarajia kupanga kikosi kitakachoshuka dimbani kesho jioni.

Pluijm alisema kuwa awali walikuwa na mpango wakuweka kambi mjini Bagamoyo, lakini kutokana na sababu...

 

10 years ago

GPL

YANGA YAZINDUA TAWI JIPYA WILAYANI MUHEZA, TANGA

Mashabiki wa Yanga wakiwa katika uzinduzi wa tawi lao wilayani Muheza, Tanga.…

 

5 years ago

Michuzi

YANGA YATOA MSAADA WODI YA WAKINA MAMA KITUO CHA AFYA NGAMIANI JIJINI TANGA

  Afisa Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga Antonio Nugaz kulia akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya cha Ngamiani Jijini Tanga Anjelina Mashaka kushoto kwa ajili ya wakina mama wajawazito wanaojifungua kwenye kituo hicho  katikati anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Mashindano wa Klabu ya Yanga Thabithy Kandoro  Afisa Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga Antonio Nugaz kulia akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya cha Ngamiani Jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani