Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kopunovic: Tambwe ni hatari aisee

Mchezaji wa Yanga, Amis Tambwe. Na Sweetbert Lukonge, Zanzibar
KOCHA Mkuu wa Simba, raia wa Serbia, Goran Kopunovic, amewashangaa viongozi wa klabu hiyo kwa kumuacha Amissi Tambwe kwenye usajili uliopita.Simba waliachana na Tambwe kwenye usajili uliopita kwa kile walichodai kuwa, ameshuka kiwango pamoja na kwamba msimu mmoja tu nyuma aliwapa heshima ya kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Tambwe baada ya kuachwa,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BETHIDEI YA ONGO MUVI: AISEE ACHA TU!

Aisee! Pati ya ‘bethidei’ ya klabu ya mastaa wa filamu za Kibongo ya Bongo Movie Unity ya kutimiza miaka mitatu tangu ilipoanzishwa, ilikuwa noma sana kwani watu walijiachia balaa. Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Nyerere’ akizungumza machache mbele ya watu waliohudhuria. Mpango mzima ambao ulishuhudiwa na Ijumaa Wikienda lililokuwa likirandaranda ndani ya nyumba, ulichukua nafasi...

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga mastraika 8, Mtaua bendi aisee!

SIMBA-YANGA-12.jpgWachezaji wa Yanga wakishangilia.

Nicodemus Jonas, Dar es Salaam

YANGA imeizidi kete Simba katika utitiri wa washambuliaji baada ya usajili wa nyota wawili kwa mpigo; Paul Nonga na Issofou Boubacar ‘Garba’ ambao umeifanya kuwa na jumla ya washambuliaji nane, mmoja zaidi ya watani wao.

Busunguuu.jpgWakati wadau wa soka wakijadili umuhimu wa Nonga katika jeshi lililosheheni washambuliaji wakali, Yanga wamekuja juu na kusema kuwa na ingewezekana wangeendelea kuongeza wengine kwani wanataka kuwa na kikosi...

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

10 years ago

Vijimambo

Kopunovic alegeza masharti Simba.

Mserbia Goran Kopunovic.
Sizitaki mbichi hizi zimeanza kujitokeza kwa Mserbia Goran Kopunovic ambaye alishindwana na Simba baada ya kuitaka klabu hiyo kumpa Sh. milioni 100 za ada ya usajili ili kusaini mkataba mpya huku pia akiitaka kumuongeza mshahara na kuwa Sh. milioni 28 kwa mwezi.

Hata hivyo, wakati Simba ikiwa katika mchakato wa kusaka mbadala wake, imeelezwa kuwa kocha huyo ameanza kuwapigia simu viongozi wa klabu hiyo na kuwaambia ameshusha kiwango cha fedha anachotaka kulipwa ili...

 

10 years ago

GPL

Wezi wamliza Kopunovic hotelini

Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic. Daudi Julian, Morogoro na Hans Mloli, Dar
KOCHA Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic, ameingizwa mjini baada ya kuibiwa kiasi cha dola 300 (Sh 510,000) pamoja na fedha za Kitanzania ambazo hazikufahamika ni kiasi gani akiwa katika hoteli yenye hadhi kubwa mkoani Morogoro. Kocha huyo amekumbwa na tukio hilo alipokuwa mkoani humo wakati timu yake ilipokuwa mkoani humo maalum kwa ajili ya mechi...

 

10 years ago

GPL

Kopunovic amtaja aliyeimaliza Simba

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic. Na Hans Mloli BAADA ya Simba kufungwa mabao 2-1 na Mbeya City, juzi Jumatano katika Ligi Kuu Bara, Kocha wa Simba, Goran Kopunovic, amefunguka kuhusu sababu zilizochangia kipigo hicho huku akimtaja mchezaji mmoja kuhusika. Kocha huyo raia wa Serbia ametoa tamko juu ya mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa kwa kusema kuwa kukosekana kwa baadhi ya wachezaji wake, hasa Said Ndemla...

 

10 years ago

TheCitizen

Kopunovic shifts focus on league

Simba SC head coach and Serbian Goran Kopunovic has congratulated his boys for clinching the 2014/2015 Mapinduzi Cup, calling on them not to relax.

 

10 years ago

GPL

Kopunovic aondoa watatu Simba

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa Simba, Goran Kopunovic, ametangaza mapema aina tatu za wachezaji ambao hawawezi kudumu katika kikosi chake.Kopunovic, raia wa Serbia, amesema wachezaji wasiotaka kujituma ndiyo kundi la kwanza ambalo halitakuwa na nafasi katika kikosi chake. “Pili ni wale wasiokuwa na nidhamu na tatu wasiocheza kwa manufaa ya timu au kuangalia manufaa ya pamoja kama timu, hakika...

 

10 years ago

GPL

Kopunovic aiwahi Yanga Tanga

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic. Na John Joseph
YANGA inatarajiwa kushuka uwanjani leo pale Mkwakwani mkoani Tanga, kukipiga dhidi ya Coastal Union, lakini upande wa pili ni kuwa makocha wa Simba, Goran Kopunovic na msaidizi wake, Selamani Matola wanatarajiwa kuwa uwanjani hapo kuishuhudia mechi hiyo. Yanga itakuwa mgeni wa Coastal, katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara ikiwa inajiandaa kukipiga dhidi ya BDF ya Botswana, katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani