Yanga mastraika 8, Mtaua bendi aisee!
Wachezaji wa Yanga wakishangilia.
Nicodemus Jonas, Dar es Salaam
YANGA imeizidi kete Simba katika utitiri wa washambuliaji baada ya usajili wa nyota wawili kwa mpigo; Paul Nonga na Issofou Boubacar ‘Garba’ ambao umeifanya kuwa na jumla ya washambuliaji nane, mmoja zaidi ya watani wao.
Wakati wadau wa soka wakijadili umuhimu wa Nonga katika jeshi lililosheheni washambuliaji wakali, Yanga wamekuja juu na kusema kuwa na ingewezekana wangeendelea kuongeza wengine kwani wanataka kuwa na kikosi...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/MG_1128.jpg)
BENDI MPYA YA VIJANA WANNE, RUBY BENDI WATINGA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX44g1qttVa4Q5XF4yVil8jpkTeGAf3Rl2d8bqoXze8ws3WgtwSOkm7pgHyaYO8S3qBJirZLVpqnxstnrsbIJv3v/k.jpg)
Kopunovic: Tambwe ni hatari aisee
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZakFNPDv*mbs6Bqga98OectwsW65sLhSnGmahfRD2gQuNFyHyexTEBnqY3TJQOVAAGea0Lx-uFq1oVxSc1tgANo/berthdei.jpg?width=650)
BETHIDEI YA ONGO MUVI: AISEE ACHA TU!
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Mkubwa na Wanawe kuzindua bendi
KITUO cha kuvumbua vipaji cha Mkubwa na Wanawe cha Temeke, jijini Dar es Salaam kinatarajiwa kuzindua bendi yake ya muziki wa dansi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Bendi ya The Good Ones kutoka Rwanda
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Ya Moto Bendi kuvamia Mbeya Sept. 12
BAADA ya kufanya shoo kadhaa jijini Dar es salaam, bendi inayokuja kwa kasi hapa nchini, Yamoto Band, wanatarajia kutoa burudani ya aina yake, jijini Mbeya Septemba 12 katika Ukumbi wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpGMjqP2ZhCR0neo9pOh9gBNHLa-IfbSpCmEJFpLhl8eN6IPLVFcJhDnYC*iopGhxG8AAoRw*vb8UEa0OsRJf-ei/mpeke1.jpg?width=650)
MWANA...UKIBENDI UNAUA BENDI LAIVU
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Bendi ya SMG yatimiza miaka 4 ya uimbaji
Mmoja wa waimbaji wa bendi hiyo akifanya yake.
Picha matukio ya sherehe ya kutimiza miaka minne ya bendi ya SGM. BENDI ya Soul.
Gospel International ‘SMG’ ya Kawe jijini Dar, jana Jumapili ilisherehekea kutimiza miaka minne katika huduma ya uimbaji.
Sherehe hiyo ilifanyika katika Kanisa la Living Watels lililopo Kawe Makuti linaloongozwa na mtume Onesmo Ndegi sambamba na kusindikizwa na waimbaji kama Elly Jo, John Honore, Heleni Kijazi (mwimbaji wa taarabu), Bombi Johnson na...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Wengi wafariki onyesho la bendi Seoul