Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BETHIDEI YA ONGO MUVI: AISEE ACHA TU!

Aisee! Pati ya ‘bethidei’ ya klabu ya mastaa wa filamu za Kibongo ya Bongo Movie Unity ya kutimiza miaka mitatu tangu ilipoanzishwa, ilikuwa noma sana kwani watu walijiachia balaa. Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Nyerere’ akizungumza machache mbele ya watu waliohudhuria. Mpango mzima ambao ulishuhudiwa na Ijumaa Wikienda lililokuwa likirandaranda ndani ya nyumba, ulichukua nafasi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Kopunovic: Tambwe ni hatari aisee

Mchezaji wa Yanga, Amis Tambwe. Na Sweetbert Lukonge, Zanzibar
KOCHA Mkuu wa Simba, raia wa Serbia, Goran Kopunovic, amewashangaa viongozi wa klabu hiyo kwa kumuacha Amissi Tambwe kwenye usajili uliopita.Simba waliachana na Tambwe kwenye usajili uliopita kwa kile walichodai kuwa, ameshuka kiwango pamoja na kwamba msimu mmoja tu nyuma aliwapa heshima ya kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Tambwe baada ya kuachwa,...

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga mastraika 8, Mtaua bendi aisee!

SIMBA-YANGA-12.jpgWachezaji wa Yanga wakishangilia.

Nicodemus Jonas, Dar es Salaam

YANGA imeizidi kete Simba katika utitiri wa washambuliaji baada ya usajili wa nyota wawili kwa mpigo; Paul Nonga na Issofou Boubacar ‘Garba’ ambao umeifanya kuwa na jumla ya washambuliaji nane, mmoja zaidi ya watani wao.

Busunguuu.jpgWakati wadau wa soka wakijadili umuhimu wa Nonga katika jeshi lililosheheni washambuliaji wakali, Yanga wamekuja juu na kusema kuwa na ingewezekana wangeendelea kuongeza wengine kwani wanataka kuwa na kikosi...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI KATA YA KING'ONGO,DAR

 Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa King'ongo, Demetrius Mapesi (kulia),akimtwisha ndoo ya maji Radhia Said baada ya kuzindua mradi wa kisima cha maji mwishoni mwa wiki kilichojengwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika Kata ya King'ongo, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kisima hicho kimejengwa kwa msaada wa TBL. Kushoto ni Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholaus
 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL)...

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA MAJI KING'ONGO DAR WAKAGUA UJENZI WA MRADI WAO WA MAJI ULIOFADHILIWA NA TBL

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya MO Resources Limited,Onesmo Sigalla (kulia), akitoa maelezo kwa kwa wajumbe wa Kamati ya Maji ya Mtaa wa King'ongo,  Kata ya Salanga, Kimara, Dar es Salaam,  kuhusu hatua aliyofikia ya usafishaji maji katika ujenzi wa kisima cha maji kilichojengwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kamati hiyo iliyokwenda kukagua maendeleo ya mradi huo jana, iliongozwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Demetrius Mapesi (kulia). Wajumbe wengine ni Anna Kibwana (wa...

 

10 years ago

GPL

BETHIDEI YAMRUDISHA KARRUECHE

Staa wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown. STAA wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown’ hivi karibuni alisherehekea bethidei yake kwa kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake, Karrueche Tran. Chanzo kinafunguka kuwa Chris alikuwa akitimiza miaka 26 akiwa kama baba wa mtoto mmoja, Royalty ambapo walianza kwa kuongozana na mrembo huyo katika onesho la ngumi kati...

 

10 years ago

GPL

JB BETHIDEI YANGU NI KANISANI TU!

Stori: Mayasa Mariwata LEGENDARY wa sinema za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ amesema kuwa, miongoni mwa vitu ambavyo vimemkalia kushoto ni kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kufanya sherehe, yeye siku zote hufanyia kanisani kwa kufanya maombi. Legendary wa sinema za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ Msanii huyo ambaye siku chache zilizopita alitimiza miaka kadhaa ambayo hakuwa tayari kuiweka wazi, alisema...

 

9 years ago

GPL

BETHIDEI YA WEMA KUFURU!

Mkurugenzi  wa Endless Fame Wema Sepetu akiwa amesimama mbele ya meza iliyokuwa imesheheni keki alizokuwa amendaliwa katika sherehe ya kuadhimisha   siku yake ya kuzaliwa iliyofanyikia ndani ya Ukumbi wa Wema Sepetu Hall, uliyopo ndani ya jengo jipya la Millenium Tower. Meneja wa Wema (kushoto), Martin Kadinda, akimsaidia kukata moja ya  keki zilizokuwa zimeandaliwa muda mfupi kabla ya kuanza kuwalisha ndungu jamaa na...

 

9 years ago

GPL

NISHA ASUSIWA BETHIDEI

Gladness Mallya NI sheedah! Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya mastaa wenzake kususia shughuli ya siku yake ya kuzaliwa ‘bethidei’. Tukio hilo lilijiri wikiendi iliyopita katika Hoteli ya Sea Scape iliyopo Mbezi-Beach, Dar lakini cha ajabu hakuna staa hata mmoja aliyehudhuria zaidi ya timu yake ‘Team Nisha’ na muongozaji wake wa filamu, Leah...

 

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA MGOMBEA URAISI MH!

Stori: MWANDISHI WETU, MBEYA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Mark Mwandosya aliyewahi kugombea nafasi ya kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, hivi karibuni alitimiza miaka 65 na katika kuadhimisha siku hiyo, wajukuu zake walimfanyia bonge la sapraizi, Ijumaa limetonywa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Mark Mwandosya akifanyiwa 'bethidei...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani