JB BETHIDEI YANGU NI KANISANI TU!
![](http://api.ning.com:80/files/1pYGM2xUDQmo4Qf5zv4SQD6lZXjj*FjHBbJRO7GDyK7iL7rwZRKusH5fLKJReO4B7N8lPLHDPtFqXJGalKvruYCimdIksUQN/jb.jpg)
Stori: Mayasa Mariwata LEGENDARY wa sinema za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ amesema kuwa, miongoni mwa vitu ambavyo vimemkalia kushoto ni kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kufanya sherehe, yeye siku zote hufanyia kanisani kwa kufanya maombi. Legendary wa sinema za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ Msanii huyo ambaye siku chache zilizopita alitimiza miaka kadhaa ambayo hakuwa tayari kuiweka wazi, alisema...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
9 years ago
GPLBETHIDEI YA WEMA KUFURU!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4TotnxjDZK1mJx-7-rE*o*ZLLlWOFpeuiGbopF4wrSPWiETeOV-77mWzeFaztCNuTaJwvsvagwQWiL*2cvwK*Juk/nishaa.jpg?width=650)
NISHA ASUSIWA BETHIDEI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ0hpbUazpq3klQqfQk*CuNRRCOiylV*fdBKXx86KbgGzAVxAINUUdtzXoGXI14ClGRc9NEg9KfMoFuk3QP0jiUy/BACKIJUMAA.jpg)
BETHIDEI YA MGOMBEA URAISI MH!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP7SVns3BiiF8PQ3FJ5LFOrHYpRaRL1DEU3XPVECfWyaPyUYNbAUJG3*8DZC-sMhZI3aXCqZaET4qUMYV92N2l8c/chrisbrown.jpg?width=650)
BETHIDEI YAMRUDISHA KARRUECHE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXVpdDNYzUy1P-s7fL0xJkh5B3Ajn1-NBqSupvpms04ER0t329VYXAHUhtjaGZb9*DnA8iaDXBNCSu9Bqif5F51S/yete.jpg?width=650)
BETHIDEI YA JACK DUSTAN KUFURU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwn5Sz436210ROTwS1QC0bRUALBaCLzOyinAJVjgDZyi9Dmu01F6TL0Tu5*5nl5NCM*fNKjsmVFQBue0pIXKHfbd/isabela.jpg?width=650)
ISABELA ALA BETHIDEI KITANDANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWfat0EdUJTgoE5wgHc9xzC2WSywNjty8U07NQkDB0QCgLspJthwvbFM5Gxen80VT-QXCpfTYkSWF4*DNV91x4iR/BACKAMANI.jpg)
BETHIDEI YA WASTARA TAMU, CHUNGU
10 years ago
Habarileo26 Jun
Muhongo arudisha fomu akisherehekea bethidei
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuchagulia na CCM kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania, huku akidai hatakiwi kuulizwa kuhusiana na masuala ya Escrow kwani hakutajwa mahali popote.