Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BETHIDEI YAMRUDISHA KARRUECHE

Staa wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown. STAA wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown’ hivi karibuni alisherehekea bethidei yake kwa kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake, Karrueche Tran. Chanzo kinafunguka kuwa Chris alikuwa akitimiza miaka 26 akiwa kama baba wa mtoto mmoja, Royalty ambapo walianza kwa kuongozana na mrembo huyo katika onesho la ngumi kati...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

11 years ago

GPL

Cheki yamrudisha Okwi kambini Yanga SC

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Na Sweetbert Lukonge
HATIMAYE mshambuliaji wa Yanga, Mganda Emmanuel Okwi amejiunga na wenzake baada ya kukamilishiwa madai yake aliyokuwa akiidai klabu hiyo. Hivi karibuni ilidaiwa kuwa Okwi aligoma kujiunga na kambi hiyo iliyopo Bagamoyo, Pwani kwa kuwa hajalipwa fedha zake zote za usajili ambazo alikuwa akiidai klabu hiyo, baada ya kutua klabuni hapo akitokea SC Villa ya… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yamrudisha Bin Kleb kundini

Mwenyekiti wa zamani wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Abdalah Bin Kleb ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya mashindano ya klabu hiyo.

 

10 years ago

GPL

SERIKALI YAMRUDISHA MADENI KIPANDE IDARA KUU YA UTUMISHI KUPANGIWA KAZI NYINGINE

Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Ndugu Madeni Kipande. Itakumbukwa mnamo tarehe 16 Februari, 2015 Waziri wa Uchukuzi Mh.Samuel Sitta (Mb.),alimsimamisha kazi kwa muda Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Ndugu Madeni Kipande ili kupisha Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali dhidi yake. Tume aliyoiteua Mheshimiwa Waziri kuchunguza suala hili,ilikamilisha kazi yake mnamo tarehe 20 Machi ,2015 na kumkabidhi...

 

9 years ago

Bongo5

‘Selfie’ yamrudisha Koffi Olomide kwenye chati, azungumzia ndoto ya kuwa ‘Rais wa Afrika’

11429493_1452487665073871_1410855431_n

Koffie Olomide amerudi tena kwenye chati za muziki barani Afrika tangu aachie wimbo wake mpya, Selfie katikati ya mwezi uliopita.

Kama unasikiliza redio na kutazama TV za Tanzania utakubaliana nasi kuwa wimbo huo ni miongoni mwa nyimbo zinazochezwa zaidi kwa sasa.

Selfie unafanya vizuri katika bara lote la Afrika na nchi za Ulaya zikiwemo Ufaransa, Ubelgiji na Canada na umeweza kuwavutia mashabiki wengi vijana tofauti na nyimbo zake za hivi karibuni.

Mastaa akiwemo Didier Drogba...

 

10 years ago

GPL

KARRUECHE AMFAGILIA RIHANNA!

Mwanamitindo, Karrueche Tran. New York Marekani
LICHA ya watu wengi kudhani huenda wana bifu kutokana na wote kutoka kimapenzi na staa wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’mwanamitindo, Karrueche Tran amefungua kinywa chake kwa mara ya kwanza na kumfagilia staa mwenzake, Robyn Fenty ‘Rihanna. Staa wa miondoko ya Pop nchini Marekani, Robyn Fenty ‘Rihanna. ’Karrueche alianika hisia zake kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

KARRUECHE ADONDOSHA CHOZI NIGERIA

image-7ABUJA, NIGERIA

ALIYEKUWA mpenzi wa msanii wa RnB nchini Marekani Chris Brown, Karrueche Tran, amejikuta akidondosha chozi baada ya kukutana na watoto yatima nchini Nigeria.

Mrembo huyo alikuwa nchini humo kuongoza sherehe za Pool Party mjini Abuja, lakini aliamua kutembelea kwenye
kituo cha watoto yatima cha IDP Camp, ambapo aliwakuta watoto hao wakiwa wamevaa T-shirt zilizoandikwa
‘Bring Back Our Girls’ (‘Wasichana wetu warudishwe’) Inakumbukwa kuna wasichana wengi ambao wametekwa nchini...

 

9 years ago

Global Publishers

Karrueche ashangazwa kuimbwa na Chris

karrueche-tran (1)Karrueche Tran.

IKIWA imepita siku tatu tangu staa wa muziki wa Pop, Chris Brown kuachia albamu yake mpya ijulikanayo kama Royalty, mtangazaji maarufu, Karrueche Tran ‘Kae’ ameibuka na kuchukizwa na kitendo cha Chris kumuimba katika Wimbo wa Kae.

Katika wimbo huo wa Kae ambao upo katika albamu hiyo mpya ya Chris, umekuwa gumzo kwa mashabiki kutokana na Kae kuwahi kutoka kimapenzi na Chris.

chris-brown-shooting-at-concert__oPtChris Brown.

Kwa mujibu wa chanzo, Kae amechukizwa sana kuusikia wimbo huo ambao unasemekana kuna...

 

10 years ago

GPL

KARRUECHE, CHRIS BROWN WAFIKA PABAYA!

Mtangazaji na mwanamitindo, Karrueche Tran. New York,Marekani
MTANGAZAJI na mwanamitindo, Karrueche Tran amemchana mpenzi wake wa zamani, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ katika mitandao ya kijamii. Karrueche Tran akiwa na aliyekuwa mpenzi wake, Christopher Maurice ‘Chris Brown’.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Karrueche alimfungukia Chris kuwa asimfuatefuate kwani mapenzi yao yalishakwisha tangu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani