BETHIDEI YAMRUDISHA KARRUECHE
![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP7SVns3BiiF8PQ3FJ5LFOrHYpRaRL1DEU3XPVECfWyaPyUYNbAUJG3*8DZC-sMhZI3aXCqZaET4qUMYV92N2l8c/chrisbrown.jpg?width=650)
Staa wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown. STAA wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown’ hivi karibuni alisherehekea bethidei yake kwa kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake, Karrueche Tran. Chanzo kinafunguka kuwa Chris alikuwa akitimiza miaka 26 akiwa kama baba wa mtoto mmoja, Royalty ambapo walianza kwa kuongozana na mrembo huyo katika onesho la ngumi kati...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/7F31M_rmgr0/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNalLgtBaOJOm48SxEjq171hxZdxWpDgtZdozDHoL0y1oywm9xdxUH8wdtYyF-mvqvaEAB8QwXV-e5uaqyPiQr8-/okwi.jpg?width=650)
Cheki yamrudisha Okwi kambini Yanga SC
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Yanga yamrudisha Bin Kleb kundini
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-9l_7o-7ONpM/VOIzrK-ABVI/AAAAAAAAnSU/tymV5YVnyDU/s1600/Madeni%2BKipande.jpg)
SERIKALI YAMRUDISHA MADENI KIPANDE IDARA KUU YA UTUMISHI KUPANGIWA KAZI NYINGINE
9 years ago
Bongo511 Nov
‘Selfie’ yamrudisha Koffi Olomide kwenye chati, azungumzia ndoto ya kuwa ‘Rais wa Afrika’
![11429493_1452487665073871_1410855431_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11429493_1452487665073871_1410855431_n-300x194.jpg)
Koffie Olomide amerudi tena kwenye chati za muziki barani Afrika tangu aachie wimbo wake mpya, Selfie katikati ya mwezi uliopita.
Kama unasikiliza redio na kutazama TV za Tanzania utakubaliana nasi kuwa wimbo huo ni miongoni mwa nyimbo zinazochezwa zaidi kwa sasa.
Selfie unafanya vizuri katika bara lote la Afrika na nchi za Ulaya zikiwemo Ufaransa, Ubelgiji na Canada na umeweza kuwavutia mashabiki wengi vijana tofauti na nyimbo zake za hivi karibuni.
Mastaa akiwemo Didier Drogba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2ZiD2OIPxy55IGWL3LUBjo-AmP5R4gG-8XsBKHdIOGJ9RnMQ1daJT7dij8zW6IN9sBAjVy7W4h2*H3bMQ5vYIx2oUk5tOGoW/KarruecheTran.jpg?width=650)
KARRUECHE AMFAGILIA RIHANNA!
9 years ago
Mtanzania21 Nov
KARRUECHE ADONDOSHA CHOZI NIGERIA
ABUJA, NIGERIA
ALIYEKUWA mpenzi wa msanii wa RnB nchini Marekani Chris Brown, Karrueche Tran, amejikuta akidondosha chozi baada ya kukutana na watoto yatima nchini Nigeria.
Mrembo huyo alikuwa nchini humo kuongoza sherehe za Pool Party mjini Abuja, lakini aliamua kutembelea kwenye
kituo cha watoto yatima cha IDP Camp, ambapo aliwakuta watoto hao wakiwa wamevaa T-shirt zilizoandikwa
‘Bring Back Our Girls’ (‘Wasichana wetu warudishwe’) Inakumbukwa kuna wasichana wengi ambao wametekwa nchini...
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Karrueche ashangazwa kuimbwa na Chris
Karrueche Tran.
IKIWA imepita siku tatu tangu staa wa muziki wa Pop, Chris Brown kuachia albamu yake mpya ijulikanayo kama Royalty, mtangazaji maarufu, Karrueche Tran ‘Kae’ ameibuka na kuchukizwa na kitendo cha Chris kumuimba katika Wimbo wa Kae.
Katika wimbo huo wa Kae ambao upo katika albamu hiyo mpya ya Chris, umekuwa gumzo kwa mashabiki kutokana na Kae kuwahi kutoka kimapenzi na Chris.
Chris Brown.
Kwa mujibu wa chanzo, Kae amechukizwa sana kuusikia wimbo huo ambao unasemekana kuna...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*Zl4lsZr*dH5tCG1TWRCYCJO4POAL2yj0F*-fOMsQ8yhtKcf8xGxGtygtjOnPzfIhrs0O4QUgkOJoRHn69AJRY/KarruecheTran.jpg?width=650)
KARRUECHE, CHRIS BROWN WAFIKA PABAYA!