KARRUECHE ADONDOSHA CHOZI NIGERIA
ABUJA, NIGERIA
ALIYEKUWA mpenzi wa msanii wa RnB nchini Marekani Chris Brown, Karrueche Tran, amejikuta akidondosha chozi baada ya kukutana na watoto yatima nchini Nigeria.
Mrembo huyo alikuwa nchini humo kuongoza sherehe za Pool Party mjini Abuja, lakini aliamua kutembelea kwenye
kituo cha watoto yatima cha IDP Camp, ambapo aliwakuta watoto hao wakiwa wamevaa T-shirt zilizoandikwa
‘Bring Back Our Girls’ (‘Wasichana wetu warudishwe’) Inakumbukwa kuna wasichana wengi ambao wametekwa nchini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Rais Obama Adondosha Chozi Hadharani Akitetea Hoja
![Obama](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Obama.jpg)
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Amber Rose adondosha chozi kisa Kanye West
LOS ANGELES, MAREKANI
ALIYEKUWA mpenzi wa zamani wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, Amber Rose, juzi alidondosha
chozi baada ya kukumbuka maneno ya Kanye West pindi walipokuwa wapenzi.
Februari mwaka huu Kanye West kupitia radio ya Power 105.1 kwenye kipindi cha The Breakfast Club ya nchini Marekani, alisikika akisema kuwa ‘Ni vigumu kuishi na mwanamke kama Amber Rose, hata wanawake wenzake inakuwa ngumu, baada ya kuachana naye nilitumia nusu saa kumfikiria Kim...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuLB5pTNHYR08h1vL7YfYS-FpLVy2JxcexstdTMHLFDpfjPhlK13qyY9i6VXnDgN8dv4zyt85wkaATdvu2PENLL*/karruechetranetxeberriafashionshowinnewyorkcityfebruary2015_1.jpg?width=650)
KARRUECHE ATOA CHOZI KUMUONA ROYALTY
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Ugumba Wamtesa Wema, Adondosha Chozi Mara kwa Mara!
Tatizo la kutoshika mimba (infertility) au kushindwa kupata mimba (conceive) limekuwa likimtesa staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na limehusishwa na ugumba.
Akizungumza na gazeti la Amani juu ya ishu hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Wema alisema suala la kutopata mtoto limekuwa likimkosesha amani katika maisha yake ya ukubwani.
Alisema kwamba, amekuwa akishinda akilia kila anapokutana na shosti wake wa sasa, Aunt Ezekiel ambaye ni mjamzito.Wema alitiririka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOT1Eg2mu9cHue*JFD9jXHHgsb0RQAmhmyr5Eo2b13g970whCvyXG7yI9nqggo8MxPiaWN1GTJywJGvTWhQRY7EA/SWIMMINGPOOL.jpg?width=650)
DIAMOND ADONDOSHA SWIMMING POOL KWENYE JUMBA LAKE TEGETA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP7SVns3BiiF8PQ3FJ5LFOrHYpRaRL1DEU3XPVECfWyaPyUYNbAUJG3*8DZC-sMhZI3aXCqZaET4qUMYV92N2l8c/chrisbrown.jpg?width=650)
BETHIDEI YAMRUDISHA KARRUECHE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2ZiD2OIPxy55IGWL3LUBjo-AmP5R4gG-8XsBKHdIOGJ9RnMQ1daJT7dij8zW6IN9sBAjVy7W4h2*H3bMQ5vYIx2oUk5tOGoW/KarruecheTran.jpg?width=650)
KARRUECHE AMFAGILIA RIHANNA!
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Karrueche ashangazwa kuimbwa na Chris
Karrueche Tran.
IKIWA imepita siku tatu tangu staa wa muziki wa Pop, Chris Brown kuachia albamu yake mpya ijulikanayo kama Royalty, mtangazaji maarufu, Karrueche Tran ‘Kae’ ameibuka na kuchukizwa na kitendo cha Chris kumuimba katika Wimbo wa Kae.
Katika wimbo huo wa Kae ambao upo katika albamu hiyo mpya ya Chris, umekuwa gumzo kwa mashabiki kutokana na Kae kuwahi kutoka kimapenzi na Chris.
Chris Brown.
Kwa mujibu wa chanzo, Kae amechukizwa sana kuusikia wimbo huo ambao unasemekana kuna...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*Zl4lsZr*dH5tCG1TWRCYCJO4POAL2yj0F*-fOMsQ8yhtKcf8xGxGtygtjOnPzfIhrs0O4QUgkOJoRHn69AJRY/KarruecheTran.jpg?width=650)
KARRUECHE, CHRIS BROWN WAFIKA PABAYA!