Amber Rose adondosha chozi kisa Kanye West
LOS ANGELES, MAREKANI
ALIYEKUWA mpenzi wa zamani wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, Amber Rose, juzi alidondosha
chozi baada ya kukumbuka maneno ya Kanye West pindi walipokuwa wapenzi.
Februari mwaka huu Kanye West kupitia radio ya Power 105.1 kwenye kipindi cha The Breakfast Club ya nchini Marekani, alisikika akisema kuwa ‘Ni vigumu kuishi na mwanamke kama Amber Rose, hata wanawake wenzake inakuwa ngumu, baada ya kuachana naye nilitumia nusu saa kumfikiria Kim...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLSxuYeKb3HaCAJomOeW8FDeHYRQKCI5jzpFlgstCBcSHYBp2lHfDu2oeni1z2mkynmTGU4YwpcOaXkGfVjfpUz/amberrose.jpg?width=650)
AMBER ROSE AVUJISHA SIRI ZA KANYE WEST
10 years ago
Bongo509 May
Amber Rose amchana Kanye West kuwa huandikiwa nyimbo zake
9 years ago
Bongo505 Oct
Nimewasamehe Wiz Khalifa na Kanye West kwa matusi waliyonitukana — Amber Rose
9 years ago
Mtanzania21 Nov
KARRUECHE ADONDOSHA CHOZI NIGERIA
ABUJA, NIGERIA
ALIYEKUWA mpenzi wa msanii wa RnB nchini Marekani Chris Brown, Karrueche Tran, amejikuta akidondosha chozi baada ya kukutana na watoto yatima nchini Nigeria.
Mrembo huyo alikuwa nchini humo kuongoza sherehe za Pool Party mjini Abuja, lakini aliamua kutembelea kwenye
kituo cha watoto yatima cha IDP Camp, ambapo aliwakuta watoto hao wakiwa wamevaa T-shirt zilizoandikwa
‘Bring Back Our Girls’ (‘Wasichana wetu warudishwe’) Inakumbukwa kuna wasichana wengi ambao wametekwa nchini...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Rais Obama Adondosha Chozi Hadharani Akitetea Hoja
![Obama](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Obama.jpg)
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Ugumba Wamtesa Wema, Adondosha Chozi Mara kwa Mara!
Tatizo la kutoshika mimba (infertility) au kushindwa kupata mimba (conceive) limekuwa likimtesa staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na limehusishwa na ugumba.
Akizungumza na gazeti la Amani juu ya ishu hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Wema alisema suala la kutopata mtoto limekuwa likimkosesha amani katika maisha yake ya ukubwani.
Alisema kwamba, amekuwa akishinda akilia kila anapokutana na shosti wake wa sasa, Aunt Ezekiel ambaye ni mjamzito.Wema alitiririka...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West
10 years ago
GPLALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLrFYqCqsPtqTL6chNderqoaM3EEGJSJu24joZRSCLtib2rMGhIAtrRBrItXLTImwYWfb46cttQJfLpHS6T4ty2h/Rose.jpg?width=650)
WALEMAVU WAMDONDOSHA CHOZI ROSE NDAUKA