Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMBER ROSE AVUJISHA SIRI ZA KANYE WEST

Mwanamitindo, Amber Rose. Los Angeles, Marekani KIMENUKA! Ndiyo neno sahihi unaloweza kulitumia baada ya mwanamitindo, Amber Rose, kuanza kuvujisha siri za aliyekuwa mpenzi wake, Kanye West.Katika siku za hivi karibuni, uhusiano kati ya Amber na Kim Kardashian ambaye ndiye mke wa sasa wa Kanye, umekuwa siyo mzuri na wamekuwa wakipigana vijembe, jambo linaloonekana kumshawishi Amber kuanza kutupa madongo. Kanye West. Amber, 31,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Amber Rose adondosha chozi kisa Kanye West

amber-rose-kanye-westLOS ANGELES, MAREKANI

ALIYEKUWA mpenzi wa zamani wa msanii wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, Amber Rose, juzi alidondosha
chozi baada ya kukumbuka maneno ya Kanye West pindi walipokuwa wapenzi.

Februari mwaka huu Kanye West kupitia radio ya Power 105.1 kwenye kipindi cha The Breakfast Club ya nchini Marekani, alisikika akisema kuwa ‘Ni vigumu kuishi na mwanamke kama Amber Rose, hata wanawake wenzake inakuwa ngumu, baada ya kuachana naye nilitumia nusu saa kumfikiria Kim...

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose amchana Kanye West kuwa huandikiwa nyimbo zake

Amber Rose amemchana mpenzi wake wa zamani, Kanye West. Wakati wa show kwenye kiota cha Supperclub huko L.A., Rose aliongea maneno yaliyoashiria kuwa nyimbo za Kanye West huandikwa Travi$ Scott. “Stop playing n**gas I used to f**k,” Amber aliyekuwa amelewa alimwambia. “Why don’t we play the ni**a that writes the songs for the other ni**a—Travi$ […]

 

9 years ago

Bongo5

Nimewasamehe Wiz Khalifa na Kanye West kwa matusi waliyonitukana — Amber Rose

Mrembo na mke wa zamani wa Wiz Khalifa, Amber Rose alijikuta akibubujikwa na machozi wakati akiongea na umati wa watu kwenye tukio la SlutWalk jijini Los Angeles, Jumamosi iliyopita. Rose, 31, aliandaa tukio hilo ambalo pia mama yake alimuunga mkono ambapo kwenye hotuba yake aliuambia umati kuwa imemchukua muda mrefu kuweza kuwasamehe maex wake Kanye […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa avujisha siri

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema wamenasa nyaraka na viashiria mbalimbali vinavyoonyesha kuwa Chama Cha Mapinduzi kinakusudia kuharibu mchakato wa katiba. Dk. Slaa,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West

Kim Kardashian West na Kanye West wamempa mtoto wao wa pili jina Saint West.

 

9 years ago

Mtanzania

AMBER ROSE ATEKWA NA MR. IBU

Amber-and-Mr-IbuMPENZI wa zamani wa Wiz Khalifa, Amber Rose, ameonekana kuvutiwa na mwigizaji kutoka nchini Nigeria,
John Okafor ‘Mr Ibu’ kutokana na filamu yake ya Sugar Daddy.

Filamu hiyo ya Sugar Daddy imefanya vizuri nchini Nigeria, lakini kwa sasa imevuka mipaka ambapo imefika
nchini Marekani na kumgusa mrembo huyo.

Kupitia Instagram, Amber Rose aliweka picha ya msanii huyo na kudai kwamba ni ‘bonge la msanii’ ambaye
anavutiwa naye.

“Mr Ibu, anafanya vizuri, nimependa kile ambacho amekifanya...

 

10 years ago

Mtanzania

Wiz Khalifa, Amber Rose warudiana

amber-rose-wiz-khalifaBADI MCHOMOLO NA MTANDAO
MWANAMITINDO maarufu nchini Marekani, Amber Rose amejikuta akirudisha moyo kwa baba mtoto wake, Wiz Khalifa, baada ya kuusilikiza wimbo wa msanii huyo uitwao ‘See You Again’.
Taarifa za kurudiana kwao zinaeleza kwamba Amber Rose baada ya kuusikia wimbo huo ukipigwa kwenye filamu ya Furious 7, alionekana mnyonge akakumbuka maisha walipokuwa wawili baada ya hapo alimpigia simu Wiz Khalifa akamuomba warudiane.
“Sisi ni wazazi japokuwa kulikuwa na mgogoro, lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani