Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KARRUECHE ATOA CHOZI KUMUONA ROYALTY

Mtangazaji ambaye pia ni mwanamitindo, Karrueche Tran. New York, Marekani
MTANGAZAJI ambaye pia ni mwanamitindo, Karrueche Tran juzikati alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuonana uso kwa uso na mtoto wa Chris Brown, Royalty. Mtoto wa Chris Brown, Royalty. Chanzo makini kinafunguka kuwa tangu bi’dada huyo agundue kuwa Chris alimsaliti na kutembea na mwanamke (Nia Guzman-Amey) na… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

KARRUECHE ADONDOSHA CHOZI NIGERIA

image-7ABUJA, NIGERIA

ALIYEKUWA mpenzi wa msanii wa RnB nchini Marekani Chris Brown, Karrueche Tran, amejikuta akidondosha chozi baada ya kukutana na watoto yatima nchini Nigeria.

Mrembo huyo alikuwa nchini humo kuongoza sherehe za Pool Party mjini Abuja, lakini aliamua kutembelea kwenye
kituo cha watoto yatima cha IDP Camp, ambapo aliwakuta watoto hao wakiwa wamevaa T-shirt zilizoandikwa
‘Bring Back Our Girls’ (‘Wasichana wetu warudishwe’) Inakumbukwa kuna wasichana wengi ambao wametekwa nchini...

 

9 years ago

MillardAyo

Chris Brown anaisogeza hii ya mwisho akiwa na Royalty, ‘Little More (Royalty)’ – (Video)!

Chris Brown anafunga mwaka wa 2015 kwa style ya kipekee zaidi… baada ya kuachia video za nyimbo nne zinazopatikana kwenye album yake mpya Royalty, staa huyo wa muziki wa R&B anaisogeza video ya mwisho kwenye maskio na macho yetu. Official music video ya ‘Little More (Royalty)’ ipo hewani ikiwa ndio final chapter inayokamilisha stori ya […]

The post Chris Brown anaisogeza hii ya mwisho akiwa na Royalty, ‘Little More (Royalty)’ – (Video)! appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Chris Brown – ‘Little More (Royalty)’

final4

Chris Brown ameachia video mpya ya wimbo ‘Little More (Royalty)’ ikiwa ndio final chapter inayokamilisha album mpya ya Chris. video queen si mwingine bali mwanae mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, Royalty! angalia hapa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Chris Brown – Little More (Royalty)

little2

Baada ya kutoa single ya “Anyway”,‘Wrist’,‘Back to Sleep’ Chris Brown ameachia tena nyingine mpya! Wimbo unaitwa ‘Little More (Royalty)’ na ni single special kwajili ya mwanae wa mwaka mmoja na nusu, Royalty.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

TheCitizen

Govt to help local artistes get royalty

Dodoma. The government is looking for a contractor who will install computer software to check on artistes’ work used by various electronic media.

 

11 years ago

TheCitizen

Fraud scandal shames Spanish royalty

Spain’s royal family used to be a cherished part of the scenery on the picturesque island of Majorca. Now a fraud scandal has made them more like a blot on the landscape.

 

10 years ago

GPL

BETHIDEI YAMRUDISHA KARRUECHE

Staa wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown. STAA wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown’ hivi karibuni alisherehekea bethidei yake kwa kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake, Karrueche Tran. Chanzo kinafunguka kuwa Chris alikuwa akitimiza miaka 26 akiwa kama baba wa mtoto mmoja, Royalty ambapo walianza kwa kuongozana na mrembo huyo katika onesho la ngumi kati...

 

10 years ago

GPL

KARRUECHE AMFAGILIA RIHANNA!

Mwanamitindo, Karrueche Tran. New York Marekani
LICHA ya watu wengi kudhani huenda wana bifu kutokana na wote kutoka kimapenzi na staa wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’mwanamitindo, Karrueche Tran amefungua kinywa chake kwa mara ya kwanza na kumfagilia staa mwenzake, Robyn Fenty ‘Rihanna. Staa wa miondoko ya Pop nchini Marekani, Robyn Fenty ‘Rihanna. ’Karrueche alianika hisia zake kwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Karrueche ashangazwa kuimbwa na Chris

karrueche-tran (1)Karrueche Tran.

IKIWA imepita siku tatu tangu staa wa muziki wa Pop, Chris Brown kuachia albamu yake mpya ijulikanayo kama Royalty, mtangazaji maarufu, Karrueche Tran ‘Kae’ ameibuka na kuchukizwa na kitendo cha Chris kumuimba katika Wimbo wa Kae.

Katika wimbo huo wa Kae ambao upo katika albamu hiyo mpya ya Chris, umekuwa gumzo kwa mashabiki kutokana na Kae kuwahi kutoka kimapenzi na Chris.

chris-brown-shooting-at-concert__oPtChris Brown.

Kwa mujibu wa chanzo, Kae amechukizwa sana kuusikia wimbo huo ambao unasemekana kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani