Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KARRUECHE AMFAGILIA RIHANNA!

Mwanamitindo, Karrueche Tran. New York Marekani
LICHA ya watu wengi kudhani huenda wana bifu kutokana na wote kutoka kimapenzi na staa wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’mwanamitindo, Karrueche Tran amefungua kinywa chake kwa mara ya kwanza na kumfagilia staa mwenzake, Robyn Fenty ‘Rihanna. Staa wa miondoko ya Pop nchini Marekani, Robyn Fenty ‘Rihanna. ’Karrueche alianika hisia zake kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!

Button ya uhusiano wa mwimbaji Chris Brown na mrembo wake Karrueche Tran imewekwa ‘Off’ kwa mara nyingine na sababu ni Rihanna. Siku chache zilizopita kuna shabiki mmoja alipost picha ya Chris Brown akiwa kitandani na Rihanna na kumtag Breezy ambaye naye ali ‘like’, kwa mujibu wa TMZ hiyo ni moja ya sababu ya Karrueche ku’switch […]

 

10 years ago

GPL

BETHIDEI YAMRUDISHA KARRUECHE

Staa wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown. STAA wa muziki wa Pop, nchini Marekani Christopher Maurice ‘Chris Brown’ hivi karibuni alisherehekea bethidei yake kwa kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake, Karrueche Tran. Chanzo kinafunguka kuwa Chris alikuwa akitimiza miaka 26 akiwa kama baba wa mtoto mmoja, Royalty ambapo walianza kwa kuongozana na mrembo huyo katika onesho la ngumi kati...

 

9 years ago

Global Publishers

Karrueche ashangazwa kuimbwa na Chris

karrueche-tran (1)Karrueche Tran.

IKIWA imepita siku tatu tangu staa wa muziki wa Pop, Chris Brown kuachia albamu yake mpya ijulikanayo kama Royalty, mtangazaji maarufu, Karrueche Tran ‘Kae’ ameibuka na kuchukizwa na kitendo cha Chris kumuimba katika Wimbo wa Kae.

Katika wimbo huo wa Kae ambao upo katika albamu hiyo mpya ya Chris, umekuwa gumzo kwa mashabiki kutokana na Kae kuwahi kutoka kimapenzi na Chris.

chris-brown-shooting-at-concert__oPtChris Brown.

Kwa mujibu wa chanzo, Kae amechukizwa sana kuusikia wimbo huo ambao unasemekana kuna...

 

9 years ago

Mtanzania

KARRUECHE ADONDOSHA CHOZI NIGERIA

image-7ABUJA, NIGERIA

ALIYEKUWA mpenzi wa msanii wa RnB nchini Marekani Chris Brown, Karrueche Tran, amejikuta akidondosha chozi baada ya kukutana na watoto yatima nchini Nigeria.

Mrembo huyo alikuwa nchini humo kuongoza sherehe za Pool Party mjini Abuja, lakini aliamua kutembelea kwenye
kituo cha watoto yatima cha IDP Camp, ambapo aliwakuta watoto hao wakiwa wamevaa T-shirt zilizoandikwa
‘Bring Back Our Girls’ (‘Wasichana wetu warudishwe’) Inakumbukwa kuna wasichana wengi ambao wametekwa nchini...

 

10 years ago

GPL

KARRUECHE, CHRIS BROWN WAFIKA PABAYA!

Mtangazaji na mwanamitindo, Karrueche Tran. New York,Marekani
MTANGAZAJI na mwanamitindo, Karrueche Tran amemchana mpenzi wake wa zamani, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ katika mitandao ya kijamii. Karrueche Tran akiwa na aliyekuwa mpenzi wake, Christopher Maurice ‘Chris Brown’.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Karrueche alimfungukia Chris kuwa asimfuatefuate kwani mapenzi yao yalishakwisha tangu...

 

10 years ago

GPL

KARRUECHE ATOA CHOZI KUMUONA ROYALTY

Mtangazaji ambaye pia ni mwanamitindo, Karrueche Tran. New York, Marekani
MTANGAZAJI ambaye pia ni mwanamitindo, Karrueche Tran juzikati alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuonana uso kwa uso na mtoto wa Chris Brown, Royalty. Mtoto wa Chris Brown, Royalty. Chanzo makini kinafunguka kuwa tangu bi’dada huyo agundue kuwa Chris alimsaliti na kutembea na mwanamke (Nia Guzman-Amey) na… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Barafu amfagilia Riyama

riyama_allyNA SHARIFA MMASI

MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Suleiman Said ‘Barafu’, ameamua kumfagilia msanii mwenzake wa tasnia hiyo, Riyama Ally, kwamba ndiye anayeitendea haki kazi yake ya sanaa kutokana na umahiri anaoufanya anapoigiza mambo mbalimbali.

“Napenda sana kazi za Riyama Ally, huyu dada kwanza anajielewa na kutambua kitu anachofanya, hasa awapo mbele ya kamera,” alisema Barafu.

Barafu anasema ipo haja ya waigizaji wa kike kuzifuatilia kazi za msanii huyo ili wajifunze mbinu anazotumia...

 

9 years ago

Habarileo

Pondamali amfagilia Barthez

KOCHA wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali amempongeza kipa namba moja wa timu hiyo na timu ya taifa ‘Taifa Stars’ Ally Mustaph ‘Barthez’ kwa kazi nzuri anayoifanya akiwa kwenye timu hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani