Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pondamali amfagilia Barthez

KOCHA wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali amempongeza kipa namba moja wa timu hiyo na timu ya taifa ‘Taifa Stars’ Ally Mustaph ‘Barthez’ kwa kazi nzuri anayoifanya akiwa kwenye timu hizo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Kaseja, ‘Barthez’ on their way out

Young Africans plan to bolster their squad with the signing of a back-up goalkeeper, a move that will see Juma Kaseja and Ally Mustafa frozen out.

 

11 years ago

Mwananchi

Barthez anukia Simba

‘Nenda, rudi’ za kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’ zinakaribia kutimia baada ya kipa huyo kuanza mazungumzo na Simba ili arejee tena Mtaa wa Msimbazi kuichezea klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili.

 

11 years ago

GPL

Kipa Barthez asaini Simba miaka miwili

Kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’. Na Musa Mateja
SIKU moja kabla ya kuumana na Simba, Championi Ijumaa limepata taarifa za uhakika kuwa kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’ amefikia makubaliano ya kuondoka klabuni hapo na sasa ataichezea Simba msimu ujao. Barthez ambaye amekuwa na wakati mgumu wa kupata nafasi kwenye kikosi cha Yanga hivi sasa, imeelezwa kuwa ameshaafikiana na Yanga kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Pondamali amtetea Kaseja

 Kocha wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali amesema kukosekana kwa Juma Kaseja kwenye mazoezi ya Yanga hakumuumizi kichwa kwani anaamini kuwa kipa huyo atakuwa anafanya mazoezi binafsi tofauti na makipa wengine wa Kitanzania.

 

11 years ago

GPL

PONDAMALI ATEMBELEA GLOBAL

Kocha wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali 'Mensah' (aliyevaa kofia) akiwa na wahariri wa magazeti ya Championi. Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally (kushoto) akisalimiana na kocha wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali kwenye Ofisi za Global Publishers Ltd leo Jumatano.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pondamali hataki ushikaji Yanga

KOCHA wa makipa wa klabu ya Yanga, Juma Pondamali, amesema urafiki wa karibu wa makocha waliopita na wachezaji ndiyo sababu ya timu hiyo kufanya vibaya katika michezo yake. Pondamali, kocha...

 

11 years ago

GPL

MKWASA, PONDAMALI, KUINOA YANGA

Uongozi wa Young Africans SC umepata warithi wa nafasi tatu za benchi la ufundi (Charles Boniface Mkwasa, Juma Pondamali na Dr. Suphian Juma), huku wakiendelea na mchakato kumpata kocha mkuu ambaye atachukua nafasi ya mholanzi Ernie Brandts aliyesitishiwa mkataba wake mwishoni mwa mwaka 2013. Charles Boniface Mkwasa 'Master' aliyekua kocha mkuu wa timu ya Ruvu Shooting katika mzunguko wa kwanza anachukua nafasi ya aliyekua kocha...

 

9 years ago

Habarileo

Viwango makipa Yanga vyamkuna Pondamali

KOCHA wa makipa wa Yanga Juma Pondamali amesema kwamba kipa Deogratius Munishi ’Dida’ yuko kwenye kiwango sawa na kipa Ally Mustapha ’Barthez’ na yeyote anaweza kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo.

 

11 years ago

GPL

MKWASA, PONDAMALI WAANZA KAZI RASMI YANGA

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa akiwaongoza wachezaji wake katika mazoezi leo. Yanga wakiendelea na mazoezi chini ya Mkwasa katika Uwanja wa Bora uliopo Mabatini-Kijitonyama jijini Dar…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani