Pondamali hataki ushikaji Yanga
KOCHA wa makipa wa klabu ya Yanga, Juma Pondamali, amesema urafiki wa karibu wa makocha waliopita na wachezaji ndiyo sababu ya timu hiyo kufanya vibaya katika michezo yake. Pondamali, kocha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMKWASA, PONDAMALI, KUINOA YANGA
9 years ago
Habarileo08 Nov
Viwango makipa Yanga vyamkuna Pondamali
KOCHA wa makipa wa Yanga Juma Pondamali amesema kwamba kipa Deogratius Munishi ’Dida’ yuko kwenye kiwango sawa na kipa Ally Mustapha ’Barthez’ na yeyote anaweza kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo.
11 years ago
GPLMKWASA, PONDAMALI WAANZA KAZI RASMI YANGA
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mkwasa, Juma Pondamali kuanza kibarua Yanga leo
BAADA ya jana Yanga kushindwa kufanya mazoezi kutokana na kukosa makocha wa kuwafundisha wachezaji, leo kikosi hicho kinatarajia kuanza rasmi mazoezi chini ya Kocha Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali...
9 years ago
Habarileo18 Oct
Pondamali amfagilia Barthez
KOCHA wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali amempongeza kipa namba moja wa timu hiyo na timu ya taifa ‘Taifa Stars’ Ally Mustaph ‘Barthez’ kwa kazi nzuri anayoifanya akiwa kwenye timu hizo.
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Pondamali amtetea Kaseja
11 years ago
GPLPONDAMALI ATEMBELEA GLOBAL
9 years ago
Bongo Movies12 Sep
Aunty Ezekiel Hataki Kufuatiliwa
STAA wa Bongo Movie ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja Aunty Ezekiel amesema huwa anakerwa na watu ambao wanapenda kufuatilia mahusiano yake na baba mtoto wake Moses Iyobo, dansa wa Diamond Platinumz.
Aunty Ezekiel alisema, kuna baadhi ya watu wanapenda kumfuatilia mahusiano yake na kudai yeye amemzidi umri dansa huyo kitu ambacho hapendezwi nacho.
Alisema huwa anawashangaa sana baadhi ya watu ambao wanashidwa kufanya mambo yao na kumjadili maisha yake.
“Jamani mimi sipendi maneno ya...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Mgombea adai hataki kuwadanganya Wanakalenga