Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgombea adai hataki kuwadanganya Wanakalenga

Mgombea ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Chausta, Richard Minja, amesema kampeni anayofanya yeye ni tofauti kwa sababu yeye bado ni mwanasiasa mchanga, mwenye ndoto za kuwa mwanasiasa na asiyependa kudanganya wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Mgombea CUF adai kutekwa, kuporwa fomu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Mkadam Khamis Mkadam.

Mgombea ubunge wa Chama cha Wananchi (CUF) amedai kutekwa, kutishwa na kuporwa fomu za kugombea katika jimbo la Shaurimoyo, Unguja.

Mgombea huyo, Abdi Seif Hamad, alidai kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 17, mwaka huu majira ya asubuhi katika maeneo ya jimbo hilo. Alidai kuwa akiwa maeneo hayo wakati akitafuta wadhamini, ghafla kikatokea kikundi cha watu wapatao wanane wakiwa wamejifunika nyuso na kumteka,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mgombea wa CUF adai kutekwa na kuporwa fomu zake

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, Mkadam Khamis Mkadam. Na Rahma Suleiman 20th August 2015 Mgombea ubunge wa Chama cha Wananchi (CUF) amedai kutekwa, kutishwa na kuporwa fomu za kugombea katika jimbo la Shaurimoyo, […]

The post Mgombea wa CUF adai kutekwa na kuporwa fomu zake appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

StarTV

Mgombea Urais adai vyama vya upinzani havitendewi haki

Mgombea Urais kupitia Chama cha Tanzania Labour TLP Macmillan Lyimo ameitupia lawama Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa haiwatendei haki baadhi ya wagombea urais kupitia vyama vya upinzani kwa kutowapa Fedha za ruzuku.

Akizungumza na waandishi wa habari Mgombea Urais TLP Macmillan Lyimo amesema wamekuwa wakibaguliwa licha ya mataifa ya nje kutoa fedha za kusaidia uchaguzi nchini wakati Tume za Uchaguzi za Afrika Mashariki isipokuwa Tanzania zikiwawezesha wagombea wote kwa usawa.

Mgombea huyo...

 

11 years ago

GPL

GODFREY MGIMWA AWAOMBA WANAKALENGA KUMKOPESHA IMANI, YEYE ATAWALIPA MAENDELEO KALENGA‏

Mgombea ubunge wa jimbo la Kalenga kupitia chama cha Mapinduzi CCM Bw. Godfrey Mgimwa akiwahutubia wananchi katika kijiji cha Ilandutwa kata ya Mgama Iringa vijijini akiendelea na mikutano mbalimbali ya kampeni ambapo amewaomba wananchi wa vijiji hivyo kumkopesha imani yao na kumpa kura za ndiyo siku ya Machi 16 Jumapili ijayo ili aweze kuwalipa maendeleo katika jimbo hilo.   Mgombea ubunge wa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani