Pondamali amtetea Kaseja
 Kocha wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali amesema kukosekana kwa Juma Kaseja kwenye mazoezi ya Yanga hakumuumizi kichwa kwani anaamini kuwa kipa huyo atakuwa anafanya mazoezi binafsi tofauti na makipa wengine wa Kitanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLPONDAMALI ATEMBELEA GLOBAL
9 years ago
Habarileo18 Oct
Pondamali amfagilia Barthez
KOCHA wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali amempongeza kipa namba moja wa timu hiyo na timu ya taifa ‘Taifa Stars’ Ally Mustaph ‘Barthez’ kwa kazi nzuri anayoifanya akiwa kwenye timu hizo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R2xUNuvwodS8YmUX6wjSyQRoVsDp5VUW3XHRWwItNCF8I9iiw4mhvPmNxn5cxopxH9QwJFbDjEGQE1VhS-yfdsI/yanga.jpg?width=330)
MKWASA, PONDAMALI, KUINOA YANGA
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Pondamali hataki ushikaji Yanga
KOCHA wa makipa wa klabu ya Yanga, Juma Pondamali, amesema urafiki wa karibu wa makocha waliopita na wachezaji ndiyo sababu ya timu hiyo kufanya vibaya katika michezo yake. Pondamali, kocha...
9 years ago
Habarileo08 Nov
Viwango makipa Yanga vyamkuna Pondamali
KOCHA wa makipa wa Yanga Juma Pondamali amesema kwamba kipa Deogratius Munishi ’Dida’ yuko kwenye kiwango sawa na kipa Ally Mustapha ’Barthez’ na yeyote anaweza kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7p2IIjnszS9ATXGnDqA1mj58SZ5z*7GAimEoHfdkEj0aHt2j86AC4fQOdZn5syMmbmuVZ1qvXnOr9T2-ga0g95a/4mkwassa3.jpg?width=650)
MKWASA, PONDAMALI WAANZA KAZI RASMI YANGA
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mkwasa, Juma Pondamali kuanza kibarua Yanga leo
BAADA ya jana Yanga kushindwa kufanya mazoezi kutokana na kukosa makocha wa kuwafundisha wachezaji, leo kikosi hicho kinatarajia kuanza rasmi mazoezi chini ya Kocha Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali...
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Samatta amtetea Messi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MCHEZAJI wa Kimataifa anayechezea klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo, Mbwana Samatta, amemkingia kifua mchezaji mwenzake wa klabu ya Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ kuwa hana ujanja wa kughushi mkataba.
Mkataba wa miaka miwili wa mchezaji huyo unadaiwa umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai, mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Akizungumza na MTANZANIA jana akiwa kwenye kambi ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’,...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Manji amtetea Magari