Samatta amtetea Messi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MCHEZAJI wa Kimataifa anayechezea klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo, Mbwana Samatta, amemkingia kifua mchezaji mwenzake wa klabu ya Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ kuwa hana ujanja wa kughushi mkataba.
Mkataba wa miaka miwili wa mchezaji huyo unadaiwa umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai, mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Akizungumza na MTANZANIA jana akiwa kwenye kambi ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Phiri amtetea Sserunkuma
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Manji amtetea Magari
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Pondamali amtetea Kaseja
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Samata amtetea Kapombe
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Rage amtetea Logarusic
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Maximo amtetea Mbrazili wake
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Mourinho amtetea refa Artkinson
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Askari amtetea mtuhumiwa mahakamani
KESI ya kughushi inayomkabili mfanyabiashara, Hans Macha imechukua sura mpya baada ya askari polisi E.2982 Johanes Mgendi kutoa ushahidi upande wa mtuhumiwa kwenye kesi hiyo. Mgendi ambaye ni mtaalamu wa...
11 years ago
GPL![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/06/article-2621567-1D9EE47200000578-983_634x470.jpg?width=634)
MWANAMKE AMTETEA MUMEWE KWA UBAKAJI