Phiri amtetea Sserunkuma
Kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema mshambuliaji wake raia wa Uganda, Danny Sserunkuma alicheza chini ya kiwango katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar kwa sababu anahitaji muda zaidi wa kuzoeana na wenzake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Dec
Phiri awafungia kazi kina Sserunkuma
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Patrick Phiri amewafungia kazi wachezaji wake wapya hasa wale wa kigeni ili kuangalia kwa umakini viwango vyao, ikiwa ni sehemu ya mikakati yake kuona anaweza kuwatumia vipi na kwa mfumo gani katika kikosi chake.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Phiri alisema baada ya usajili wa dirisha dogo angependa kufahamu kwa kina uwezo wa kila mchezaji mpya ili mwisho wa siku aweze kujua jinsi ya...
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Sserunkuma amfurahia Okwi
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Sserunkuma asaini Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcUit-OmGrsgRzG7TZhbNHA5rrBDqxaDWCvGHcbGeENMAtEl72X2yDM3ltaJSohkaBeDx43hoK2HN8BID8oB*nOM/1.jpg)
Sserunkuma: Yanga nawajua
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Emerson, Sserunkuma watingisha
10 years ago
Mwananchi19 Dec
‘Mkataba Sserunkuma umeghushiwa saini’
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Sserunkuma atuliza mizuka Simba SC
10 years ago
TheCitizen03 Dec
Gor accepts Sserunkuma fate
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Samatta amtetea Messi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MCHEZAJI wa Kimataifa anayechezea klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo, Mbwana Samatta, amemkingia kifua mchezaji mwenzake wa klabu ya Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ kuwa hana ujanja wa kughushi mkataba.
Mkataba wa miaka miwili wa mchezaji huyo unadaiwa umechezewa kwa kuongezewa mwaka mmoja zaidi unaoisha Julai, mwakani, tofauti na ule alionao yeye unaomalizika mwezi ujao.
Akizungumza na MTANZANIA jana akiwa kwenye kambi ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’,...