Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sserunkuma: Yanga nawajua

Mshambuliaji wa Simba, Mganda, Danny Sserunkuma. Omary Mdose na Ibrahim Mussa
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Danny Sserunkuma, amewatoa wasiwasi wapenzi wa timu hiyo kwa kuwaambia wawe na imani na timu yao kwani sasa hivi ipo kamili. Sserunkuma aliyesajiliwa na Simba akitokea Gor Mahia inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya, alitua nchini Jumapili ya wiki iliyopita na ameanza mazoezi na kikosi hicho juzi Jumatatu, wakiwa visiwani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mnaotoa mimba acheni, nawajua- Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaonya madaktari vinara wa Hospitali ya Rufaa ya Songea ambao wanasifika kwa kufanya biashara ya kutoa mimba wanawake na wanafunzi kuacha tabia hiyo mara moja la sivyo atawafukuza kazi na kuwafunga jela.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUA

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni, bila shaka na wewe ANAKUJUA.

Mnaonipa Moyo na Kunipenda kiukweli....NAWAJUA
Wakuongea Nao Ya Moyoni....NAWAJUA
Wale wa kuni baby baby on IG kumbe Hakuna lolote....NAWAJUA
Wale mnajifanya shoulders to cry on ili mpate kunijua kirahisi...NAWAJUA ila SIWEZI KUWAPA HIYO CHANCE AISEEE...I'm Soleeeeee
Wale tunaochekeana kinafki...NAWAJUA I hope MNANIJUA PIA yani TUNAJUANA
Wale Waukweli kbsa ....NAWAJUA

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma amfurahia Okwi

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Daniel Sserunkuma amesema amefurahi kujiunga Simba ambako atacheza pamoja na Mganda mwenzake, Emmanuel Okwi

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma asaini Simba

Simba imempa mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wa Gor Mahia ya Kenya, Dan Sserunkuma, imethibitika rasmi.

 

10 years ago

Mwananchi

Emerson, Sserunkuma watingisha

Usajili wa nyota wapya wa kigeni umegeuka kete ya ushindi kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe 2 baina ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa Desemba 13 jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri amtetea Sserunkuma

Kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema mshambuliaji wake raia wa Uganda, Danny Sserunkuma alicheza chini ya kiwango katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar kwa sababu anahitaji muda zaidi wa kuzoeana na wenzake.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma atuliza mizuka Simba SC

Simba imewapoza roho mashabiki wake waliokuwa na hasira baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya JKT Ruvu katika mchezo mkali wa Ligi Kuu Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

Gor accepts Sserunkuma fate

 Gor Mahia have made the first explicit revelation, confirming talismanic striker Dan Sserunkuma’s departure after reports suggested he had ditched the club for Mainland giants Simba SC at the end of his contract with the Kenyan champions.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mkataba Sserunkuma umeghushiwa saini’

Mwenyekiti wa Express ya Uganda, Francis Ntalazi amedai Simba ilitumia saini ya kughushi kupata mkataba wa Simon Sserunkuma kama mchezaji huru.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani