Sserunkuma atuliza mizuka Simba SC
Simba imewapoza roho mashabiki wake waliokuwa na hasira baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya JKT Ruvu katika mchezo mkali wa Ligi Kuu Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Sserunkuma asaini Simba
10 years ago
Habarileo29 Jan
Simba yataka mashabiki kumpa muda Sserunkuma
UONGOZI wa Klabu ya Simba umewataka mashabiki wake kumpa muda mshambuliaji wao, Dan Sserunkuma ili aweze kufanya vizuri katika mechi za ligi.
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Sserunkuma: Sitaki kuondoka Simba hadi 2016
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Simba yawatupia virago N’daw na Sserunkuma, Kiongera ndani
10 years ago
GPL
OYA…TULIZA MIZUKA IBILISI MTOA ROHO YUPO JOBU!
11 years ago
Habarileo29 Mar
Askofu Mtetemela atuliza Bunge
WAKATI dua inayosomwa kabla na baada ya kumalizika kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba inaonekana kutowaingia ipasavyo wajumbe na kujikuta wakitumia muda mwingi kwa malumbano na matumizi ya lugha mbaya, Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana, Donard Mtetemela juzi jioni alifanikiwa kulituliza Bunge hilo kwa mawaidha aliyoyatoa.
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
DC Songea atuliza vurugu kanisani
MKUU wa Wilaya ya Songea, Joseph Mkilikiti, jana alifanikiwa kutuliza vurugu zilizotaka kuibuka katika kanisa la Anglikana la Mtakatifu Nicolas mjini hapa baada ya kupata taarifa za kuwepo kwa mikakati...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Kinana atuliza wakandarasi waliogoma
KATIBU Mkuu wa Chama Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amefanikiwa kuwarejesha kazini wakandarasi waliogoma kufanya kazi ya ujenzi wa barabara za Mkoa wa Rukwa, kutokana na kutolipwa fedha za ujenzi kwa wakati. Wakandarasi hao waligoma kutokana na kile kinachoelezwa Serikali kuchelewa kuwalipa fedha zao, hali iliyowafanya waondoe vifaa vyao na kusimama kwa kazi ya ujenzi na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa mkoa huo kutokana na ubovu wa barabara hizo.