Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sserunkuma atuliza mizuka Simba SC

Simba imewapoza roho mashabiki wake waliokuwa na hasira baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya JKT Ruvu katika mchezo mkali wa Ligi Kuu Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma asaini Simba

Simba imempa mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wa Gor Mahia ya Kenya, Dan Sserunkuma, imethibitika rasmi.

 

10 years ago

Habarileo

Simba yataka mashabiki kumpa muda Sserunkuma

UONGOZI wa Klabu ya Simba umewataka mashabiki wake kumpa muda mshambuliaji wao, Dan Sserunkuma ili aweze kufanya vizuri katika mechi za ligi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma: Sitaki kuondoka Simba hadi 2016

Mshambuliaji Dan Sserunkuma amesema yeye bado  ni mchezaji wa Simba na wala hafikirii kuondoka Msimbazi kwa sasa na hayo yote yanayosemwa dhidi yake ni uzushi.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yawatupia virago N’daw na Sserunkuma, Kiongera ndani

Klabu ya Simba imeachana na washambuliaji wake, Pape N’daw na Simon Sserunkuma na kumrudisha kiungo Raphael Kiongera.

 

10 years ago

GPL

OYA…TULIZA MIZUKA IBILISI MTOA ROHO YUPO JOBU!

Niaje…niaje mazee. Inakuwa nini wanangu? Kitaa hii mambo ni mingi kiaje sasa, kama huna uvumilivu unaweza kujikuta unapaniki na kufanya mambo ndivyo sivyo. Ama nene? Basi barida. Ebana mambo ya kuchukua fomu nini na nini unaambiwa watu wanapigana vikumbo ileile. Hataree..Wanangu majanki kibao wanataka kitu cha ubunge na udiwani. Siyo mbaya kozi kitu cha katiba si kinaruhusu? Ukishakuwa na eji inayotakiwa dheni demokrasia...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Mtetemela atuliza Bunge

WAKATI dua inayosomwa kabla na baada ya kumalizika kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba inaonekana kutowaingia ipasavyo wajumbe na kujikuta wakitumia muda mwingi kwa malumbano na matumizi ya lugha mbaya, Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana, Donard Mtetemela juzi jioni alifanikiwa kulituliza Bunge hilo kwa mawaidha aliyoyatoa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

DC Songea atuliza vurugu kanisani

MKUU wa Wilaya ya Songea, Joseph Mkilikiti, jana alifanikiwa kutuliza vurugu zilizotaka kuibuka katika kanisa la Anglikana la Mtakatifu Nicolas mjini hapa baada ya kupata taarifa za kuwepo kwa mikakati...

 

11 years ago

Habarileo

Kinana atuliza wakandarasi waliogoma

KATIBU Mkuu wa Chama Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amefanikiwa kuwarejesha kazini wakandarasi waliogoma kufanya kazi ya ujenzi wa barabara za Mkoa wa Rukwa, kutokana na kutolipwa fedha za ujenzi kwa wakati. Wakandarasi hao waligoma kutokana na kile kinachoelezwa Serikali kuchelewa kuwalipa fedha zao, hali iliyowafanya waondoe vifaa vyao na kusimama kwa kazi ya ujenzi na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa mkoa huo kutokana na ubovu wa barabara hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani