Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYA…TULIZA MIZUKA IBILISI MTOA ROHO YUPO JOBU!

Niaje…niaje mazee. Inakuwa nini wanangu? Kitaa hii mambo ni mingi kiaje sasa, kama huna uvumilivu unaweza kujikuta unapaniki na kufanya mambo ndivyo sivyo. Ama nene? Basi barida. Ebana mambo ya kuchukua fomu nini na nini unaambiwa watu wanapigana vikumbo ileile. Hataree..Wanangu majanki kibao wanataka kitu cha ubunge na udiwani. Siyo mbaya kozi kitu cha katiba si kinaruhusu? Ukishakuwa na eji inayotakiwa dheni demokrasia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OYA JOMBAA… KAMA VIPI KULA ZA USO!

Inakuwa nini arifu? Ndo hivo mazee tunamingo neksti taimu kama kawiz na mtu fedenge hapa kwa fasi ya jamvni. Kwa saidi hii ni mpango mzima. Usicheze mbali upate mastori moo. Ni matamu sana jamaa yangu. Ebana kitu cha kampeni ili kuwanyaka makachala watakaotuletea maendeleo si ndo kama hivyo zimechungulia kwa kona mbaya? Unaambiwa usijimiksi kozi hii si taimu ya kujitoa fahamu wala kula tu wepesi kwa kitaani.Ni taimu ya kutulia...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA TULIENI…KURUKARUKA ZIACHIE POPKONI!

Yere…yere masela inakuwa nini pale kati? Kwani kuna problemu? Kitaa hii ni mpeto wanangu hakuna kusebenza kozi hapa vumbi tu. Ukifuata nyayo tunatembea na fagio tunazifuta. Kitaa hiyo kwa fasi ya Roki Siti barida? Kama vipi mzuka tu makiksi wangu. Wanangu deizi zinakrosi kama hazina akili flenga na watu wazima bado mambo siyo freshi kozi hatujamaliza kurekebisha ishu f’lani za mkwanja ili kitu cha eksimasi kiende...

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA HASARA ROHO, PESA MAKARATASI!

Inakuwaje watu wangu wa nguvu? Ama nini? Imekaaje kitaa hiyo ya kona mbaya kwa fasi ya Roki Siti? Kipande hii Bongo tambarare nini na nini sema ndo hivo washkaji wanakaza kidizaini f’lani hivi. Enewei, kama vipi barida!
Wazazi ishu za ajali zinazingua kinoma wanangu. Nini kimehapeni masela? Ngoja nitumie chansi hii kuwapa sori wale wote mliolosti ndugu, jamaa na mafrendis. Tugetha tuseme r.i.p kwa wana waliolosti laifu....

 

10 years ago

GPL

OYA UNGEKUWA NA UPUNGUFU WA DAMU NINGEKUONGEZEA LAKINI AKILI…

Inakuwaje masela wangu hapo kitaani? Ni mpango mzima makachaa? Kama vipi wanangu kitaa hii hapana kwikwi. Basi barida!
Tudei nina mizuka f’lani hivi so noo kumbwela. Hivi wanangu ukiona vichwa vinakula msoto hapo kwa fasi ya kitaa unadhani makachaa wanaweza kuwa na fyucha tamu au ndo kama hivyo mafisadi wameshatekiova? Wanangu kuna pipo hawambonji kisa wanataka uprezidenti wakati wamekulia ushuani wengine mambele na...

 

11 years ago

GPL

OYA…UKITAKA KUJUA KAMA UNA MBIO, OMBA UFUMANIWE!

NIAJE… niaje kipande hiyooo…Kama kawiz kama dawa kaka mkubwa nipo kamili gado kwa jamvini kukisanua? Ama nini? Fanya kujisogeza hapa upate mastori moo. Ni tamu sana hizi stori aisee jamaa yangu. Basi mia!
Ebana eee…kabla ya mastori vipi michongo kitaa hiyo? Siyo sekreti masela tuongeze bidii ya kuzisaka mingo kwa prosesi halali. Hivi hapo mjengoni Dom mnawasoma mamemba wa katiba au mizinguo?
Kama maatisti...

 

9 years ago

Global Publishers

Uso kwa uso na mtoa roho!-2

ILIPOISHIA:
“Wale ni wachawi wanaosumbua watu kijijini kwetu, naona wametangaza vita na mimi, hawanijui hawa,” alisema baba na kama ilivyotokea mara ya kwanza, aliyeyuka na kupotea eneo lile, wale wachawi nao wakapotea kwenye upeo wa macho yangu, nikasikia kelele za watu waliokuwa wakilia kwa sauti kubwa kama wanaolalamikia maumivu makali.SASA ENDELEA…

“Ndiyo dawa yao, siku nyingine wakirudia watanikoma,” alisema baba, nikashtuka tena baada ya kumuona amesimama palepale alipokuwa mara ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Uso kwa uso na mtoa roho!

Jina langu naitwa Togolai Mahimba ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba wa baba yetu, Sinai Mahimba ambaye kwa sasa ni marehemu. Baba yetu alifariki miaka mitatu iliyopita baada ya kuugua ghafla.

Kifo chake kilitawaliwa na utata mkubwa na hata siku ya mazishi yake, kulitokea mambo mengi ya ajabu ambayo mpaka leo siwezi kuyaeleza. Ninayo mambo mengi ambayo ningependa kukusimulia ndugu msomaji lakini kwa kuanzia, naomba nikueleze mambo machache yaliyotokea kabla ya kifo cha baba yetu ambaye...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2

Uhali gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni matumaini yangu umzima kabisa na uko tayari kusoma muendelezo wa makala haya ambayo niliianza wiki iliyopita. Maudhui hasa ya makala haya ni kuwatahadharisha baadhi ya watu ambao wanahusudu mapenzi kuliko kitu kingine utadhani wana pepo la ngono. Sikatai, kufanya mapenzi ni kitu muhimu sana hasa kwa watu walioingia kwenye ndoa. Kwa kifupi ni haki ya kila mmoja kuridhishwa na mwenza wake...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita utakumbuka nilizungumzia suala la kuwajali wapenzi wetu. Niligusia suala ya kuwapa nafasi watuchune. apo walioshituka kuona kichwa kile cha habari lakini kiukweli sikumaanisha kuchuna kule ambako wanawake micharuko hufanya hasa kwa waume za watu, nilimaanisha utayari wa kila mmoja kumsaidia mwenzake kifedha. Mkeo akitaka pesa ili aende saluni kama zipo, mpe! Akihitaji pesa akanunulie vipodozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani