Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYA…UKITAKA KUJUA KAMA UNA MBIO, OMBA UFUMANIWE!

NIAJE… niaje kipande hiyooo…Kama kawiz kama dawa kaka mkubwa nipo kamili gado kwa jamvini kukisanua? Ama nini? Fanya kujisogeza hapa upate mastori moo. Ni tamu sana hizi stori aisee jamaa yangu. Basi mia!
Ebana eee…kabla ya mastori vipi michongo kitaa hiyo? Siyo sekreti masela tuongeze bidii ya kuzisaka mingo kwa prosesi halali. Hivi hapo mjengoni Dom mnawasoma mamemba wa katiba au mizinguo?
Kama maatisti...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OYA JOMBAA… KAMA VIPI KULA ZA USO!

Inakuwa nini arifu? Ndo hivo mazee tunamingo neksti taimu kama kawiz na mtu fedenge hapa kwa fasi ya jamvni. Kwa saidi hii ni mpango mzima. Usicheze mbali upate mastori moo. Ni matamu sana jamaa yangu. Ebana kitu cha kampeni ili kuwanyaka makachala watakaotuletea maendeleo si ndo kama hivyo zimechungulia kwa kona mbaya? Unaambiwa usijimiksi kozi hii si taimu ya kujitoa fahamu wala kula tu wepesi kwa kitaani.Ni taimu ya kutulia...

 

10 years ago

Mwananchi

ukitaka kujua tunda bivu au limeoza unafanyaje ?

Kuna siku nilikuwa dukani nikikagua nazi kwa ajili ya kula. Nikawa nikiitikisa tikisa na kuidonoa kwa fedha, kuufahamu mlio wake. Wazungu watatu kando walinitazama wakiona kama muujiza. Nikawaambia ule ni ufundi rasmi wa Kiafrika.

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA TULIENI…KURUKARUKA ZIACHIE POPKONI!

Yere…yere masela inakuwa nini pale kati? Kwani kuna problemu? Kitaa hii ni mpeto wanangu hakuna kusebenza kozi hapa vumbi tu. Ukifuata nyayo tunatembea na fagio tunazifuta. Kitaa hiyo kwa fasi ya Roki Siti barida? Kama vipi mzuka tu makiksi wangu. Wanangu deizi zinakrosi kama hazina akili flenga na watu wazima bado mambo siyo freshi kozi hatujamaliza kurekebisha ishu f’lani za mkwanja ili kitu cha eksimasi kiende...

 

10 years ago

GPL

OYA UNGEKUWA NA UPUNGUFU WA DAMU NINGEKUONGEZEA LAKINI AKILI…

Inakuwaje masela wangu hapo kitaani? Ni mpango mzima makachaa? Kama vipi wanangu kitaa hii hapana kwikwi. Basi barida!
Tudei nina mizuka f’lani hivi so noo kumbwela. Hivi wanangu ukiona vichwa vinakula msoto hapo kwa fasi ya kitaa unadhani makachaa wanaweza kuwa na fyucha tamu au ndo kama hivyo mafisadi wameshatekiova? Wanangu kuna pipo hawambonji kisa wanataka uprezidenti wakati wamekulia ushuani wengine mambele na...

 

10 years ago

GPL

OYA…TULIZA MIZUKA IBILISI MTOA ROHO YUPO JOBU!

Niaje…niaje mazee. Inakuwa nini wanangu? Kitaa hii mambo ni mingi kiaje sasa, kama huna uvumilivu unaweza kujikuta unapaniki na kufanya mambo ndivyo sivyo. Ama nene? Basi barida. Ebana mambo ya kuchukua fomu nini na nini unaambiwa watu wanapigana vikumbo ileile. Hataree..Wanangu majanki kibao wanataka kitu cha ubunge na udiwani. Siyo mbaya kozi kitu cha katiba si kinaruhusu? Ukishakuwa na eji inayotakiwa dheni demokrasia...

 

11 years ago

GPL

OYA UKIONA UNAPENDWA NA MASHORI, UJUE UNA NYOTA YA NGOMA!

Inakuwa nini machizi wangu pale kati? Niaje…niaje washkaji zangu? Kitaa hiyo ni mpango? Kipande hii tunasebenza mwanzo mwisho aisee makachaa wangu. Timu ya taifa hasaa…ama nini? Basi barida barafu. Kama vipi karibu sana kwenye stori zetu. Hizi ni tamu kinoma chaliiangu! Kanyaga twende.Mia!
Mazee kitu cha weldi kapu pale kati Brazuka kwa akina Dilima na Neymar dizaini kama kilituweka bize ile mbaya arifu. Hata hivyo,...

 

10 years ago

Michuzi

TATIZO LA WAMACHINGA NA OMBA OMBA MAENEO YASIYORUHUSIWA DAR KUTAFUTIWA DAWA

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Mecki Sadiki akifuangua kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Dar es salaam (RCC) leo jijini Dar es salaam.Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa wa Dar es salaam Bi. Theresia Mmbando.
Na Aron Msigwa –MAELEZO.
Jiji la Dar es salaam linaangalia upya utaratibu wa kuwaondoa ombaomba na wafanyabiashara ndogondogo(wamachinga) katika maeneo yasiyoruhusiwa katika jiji la Dar es salaam kufuatia sheria na hatua zinazochukuliwa ikiwemo kuwarudisha ombaomba hao katika...

 

10 years ago

CloudsFM

TATIZO LA OMBA OMBA NA WAMACHINGA MAENEO YASIYORUHUSIWA DAR KUTAFUTIWA DAWA

Aron Msigwa –MAELEZO.

Jiji la Dar es salaam linaangalia upya utaratibu wa kuwaondoa ombaomba na wafanyabiashara ndogondogo(wamachinga) katika maeneo yasiyoruhusiwa katika jiji la Dar es salaam kufuatia sheria na hatua zinazochukuliwa ikiwemo kuwarudisha ombaomba hao katika mikoa wanayotoka kutokuzaa matunda na kuwa endelevu kufuatia wengi wao kurudi katika maeneo ya awali kila wanapoondolewa.
Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Said Mecki Sadiki wakati akifungua kikao cha...

 

11 years ago

GPL

BONANZA LA JOGGING & BREAKING NEWS… MBIO ZA HISTORIA KUFANYIKA DAR!

MBIO za historia! Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuiandika historia ya aina yake kwa kuzikutanisha timu zaidi ya 200 za mbio za taratibu (jogging) katika Bonanza la Jogging na Breaking News 15778, Februari 9, mwaka huu kuanzia Uwanja wa Taifa hadi Mbagala-Zakhem jijini Dar. Kwa mujibu wa Rajabu Mteta (KP) ambaye ni mratibu wa bonanza hilo, timu hizo zitachuana vilivyo katika bonanza hilo ambalo litasheheni michezo mingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani