TATIZO LA WAMACHINGA NA OMBA OMBA MAENEO YASIYORUHUSIWA DAR KUTAFUTIWA DAWA
.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Mecki Sadiki akifuangua kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Dar es salaam (RCC) leo jijini Dar es salaam.Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa wa Dar es salaam Bi. Theresia Mmbando.
Na Aron Msigwa –MAELEZO.
Jiji la Dar es salaam linaangalia upya utaratibu wa kuwaondoa ombaomba na wafanyabiashara ndogondogo(wamachinga) katika maeneo yasiyoruhusiwa katika jiji la Dar es salaam kufuatia sheria na hatua zinazochukuliwa ikiwemo kuwarudisha ombaomba hao katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM18 Dec
TATIZO LA OMBA OMBA NA WAMACHINGA MAENEO YASIYORUHUSIWA DAR KUTAFUTIWA DAWA
Aron Msigwa –MAELEZO.
Jiji la Dar es salaam linaangalia upya utaratibu wa kuwaondoa ombaomba na wafanyabiashara ndogondogo(wamachinga) katika maeneo yasiyoruhusiwa katika jiji la Dar es salaam kufuatia sheria na hatua zinazochukuliwa ikiwemo kuwarudisha ombaomba hao katika mikoa wanayotoka kutokuzaa matunda na kuwa endelevu kufuatia wengi wao kurudi katika maeneo ya awali kila wanapoondolewa.
Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Said Mecki Sadiki wakati akifungua kikao cha...
10 years ago
GPL
BARUA NZITO: WASTARA OMBA RADHIâ€, ‬BADILIKAâ€!‬
10 years ago
Vijimambo29 Apr
BARUA NZITO: WASTARA Omba Radhi na Ubadilike..
Wastara JumaKWAKO mwanamke unayejua kuuvaa vyema uhusika katika sinema za Kibongo, Wastara Juma. Za siku nyingi? Uko poa mama! yake?Ukitaka kujua afya yangu mimi ni mzima wa afya, naendelea na mishemishe zangu za kila siku kuhakikisha mkono unakwenda kinywani. Nimekukumbuka hapa leo maana ni kitambo kidogo hatujaonana. Nikaona ni vizuri kukuandikia barua.Dhumuni la barua hii ni kwanza kutaka kukukumbusha juu ya heshima niliyokuwa nakupa. Nilikuwa nakuheshimu kama mama wa watoto wawili, mtu...
11 years ago
GPL
OYA…UKITAKA KUJUA KAMA UNA MBIO, OMBA UFUMANIWE!
10 years ago
Michuzi
UPENDO NKONE KUZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI YA "OMBA YESU ANASIKIA" JUMAPILI HII

ALBAMU ya OMBA YESU ANASIKIA kuzinduliwa Septemba 27 mwaka huu(Jumapili hii) katika kanisa la TAG la upanga mkabala na chuo cha Uzumbe kwa Askofu Mwanesongore.
hayo yalisemwa na Mwimbaji wa nyimbo za Injili,Upendio Nkone wakati akizungumza na waandishi wa habari...
11 years ago
MichuziWAENDESHA BODABODA, BAJAJI NA WAFANYABIASHARA MAENEO YASIYORUHUSIWA WANYOOSHEWA KIDOLE,SASA KUKUMBWA NA OPARESHENI ENDELEVU YA KUWAONDOA
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Tatizo ni wamachinga au wateja?
HIVI karibuni serikali kupitia Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) ilikihamisha kituo cha mabasi ya daladala kutoka eneo la Mwenge kwenda Makumbusho. Kitendo hiki kimeathiri makundi ya...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Tatizo si wamachinga, ni serikali
HIVI karibuni Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitangaza kuanzisha Operesheni Safisha Jiji ya kuwaondoa wamachinga wote walio katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es...