Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yataka mashabiki kumpa muda Sserunkuma

UONGOZI wa Klabu ya Simba umewataka mashabiki wake kumpa muda mshambuliaji wao, Dan Sserunkuma ili aweze kufanya vizuri katika mechi za ligi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma asaini Simba

Simba imempa mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wa Gor Mahia ya Kenya, Dan Sserunkuma, imethibitika rasmi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma atuliza mizuka Simba SC

Simba imewapoza roho mashabiki wake waliokuwa na hasira baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya JKT Ruvu katika mchezo mkali wa Ligi Kuu Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma: Sitaki kuondoka Simba hadi 2016

Mshambuliaji Dan Sserunkuma amesema yeye bado  ni mchezaji wa Simba na wala hafikirii kuondoka Msimbazi kwa sasa na hayo yote yanayosemwa dhidi yake ni uzushi.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yawatupia virago N’daw na Sserunkuma, Kiongera ndani

Klabu ya Simba imeachana na washambuliaji wake, Pape N’daw na Simon Sserunkuma na kumrudisha kiungo Raphael Kiongera.

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA SPORT CLUB YAWA ZAWADIA MASHABIKI WAKE WA BAHATI NASIBU ILIYOICHEZWA SIMBA DAY

Uongozi wa klabu ya Simba leo umetoa zawadi kwa washindi wa bahati na sibu iliyochezeshwa siku ya Simba Day Aosti 8 mwaka huu wakati wa kilele cha sherehe za siku ya Simba Day zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Zawadi zilizo kabidhiwa kwa washindi ni jezi pamoja simu, kila mshindi amepata jezi ya juu pea moja pamoja na simu moja aina ya Motec. Washindi wa zawadi hizo ni Jeremia Venist, Ahazi Mwembe pamoja na Marko Mgimba. Mbali na zawadi hizo, klabu hiyo pia...

 

10 years ago

Michuzi

Simba yapanga kumpa gari mchezaji bora wa timu hiyo

Uongozi wa Klabu ya Simba umepanga kumpa gari mchezaji bora wa klabu hiyo katika sherehe za Simba maarufu 'Simba Day' inayofanyika kila mwaka Agosti 8.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, Rais wa Simba Evans Aveva alisema kuwa chini ya uongozi wake wameanzisha tuzo hizo kwa wachezaji wa Simba ili kuibua morali ya wachezaji na kuthamini mchango wao na hiyo imekuja baada ya klabu hiyo ya wekundu wa Msimbazi kuingia mkataba wa miaka mitano na Kampuni ya EAG ambao watakuwa na jukumu la...

 

10 years ago

Bongo5

Ray (Yanga) kumpa JB milioni 1 na kuvaa jezi ya Simba baada ya kufungwa

Kabla ya mechi ya ‘Nani Mtani Jembe’ kati ya Yanga na Simba mashabiki wa timu hizo mbili ambao ni wasanii wa filamu, Vicent ‘Ray’ Kigosi na JB walipinga yoyote atakayefungwa atavaa jezi ya mwenzake na kumkabidhi zawadi ya shilingi milioni 1. Ray ambaye ni shabiki wa Yanga itambidi avae jezi ya Simba pamoja na kumkabidhi […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtibwa Sugar yataka ‘salio’ Simba

SIKU chache baada ya Klabu ya Simba kumsainisha kipa Hussen Sharif ‘Casillas’, kutoka Mtibwa Sugar, wakali hao kutoka Turiani, Morogoro, wameibuka na kusema usajili wa nyota huyo ni kinyume na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani