Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yawatupia virago N’daw na Sserunkuma, Kiongera ndani

Klabu ya Simba imeachana na washambuliaji wake, Pape N’daw na Simon Sserunkuma na kumrudisha kiungo Raphael Kiongera.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

N’daw afunga usajili Simba

Guirane-N-Daw-Birmingham-City-1024_2700680MWALI IBRAHIM NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI raia wa Senegal, Pape N’daw, ameifungia usajili klabu ya Simba baada ya juzi kufuzu majaribio yake na kupewa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo kwenye Ligi Kuu msimu huu unaotarajia kuanza Septemba 12.

Sambamba na mchezaji huyo pia Simba imempa mkataba wa miaka miwili Boniface Maganga kutoka kituo cha soka cha Marsh Athletes Academy kilichokua kinasimamiwa na aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Sylvster Marsh,...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Simba azidi kumkumbatia N’daw

PAMOJA na uongozi wa Simba kutoridhishwa na kiwango cha mshambuliaji raia wa Senegal, Pape Abdoulaye N’daw, kocha wa timu hiyo Dylan Kerr, ameendelea kusisitiza huyo bado ni mchezaji muhimu na kwamba kinachotakiwa ni kuendelea kumpa muda ili aweze kuzoea mazingira ya Ligi ya Tanzania Bara.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma asaini Simba

Simba imempa mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wa Gor Mahia ya Kenya, Dan Sserunkuma, imethibitika rasmi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma atuliza mizuka Simba SC

Simba imewapoza roho mashabiki wake waliokuwa na hasira baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya JKT Ruvu katika mchezo mkali wa Ligi Kuu Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Simba yataka mashabiki kumpa muda Sserunkuma

UONGOZI wa Klabu ya Simba umewataka mashabiki wake kumpa muda mshambuliaji wao, Dan Sserunkuma ili aweze kufanya vizuri katika mechi za ligi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma: Sitaki kuondoka Simba hadi 2016

Mshambuliaji Dan Sserunkuma amesema yeye bado  ni mchezaji wa Simba na wala hafikirii kuondoka Msimbazi kwa sasa na hayo yote yanayosemwa dhidi yake ni uzushi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongera achelewesha kikosi Simba

Kocha Patrick Phiri amesema mshambuliaji wake Raphael Kiongera ndiye anayemchelewesha kupata kikosi cha kwanza kutokana na kuchelewa kuripoti kambini.

 

9 years ago

Mwananchi

Kiongera, Majwega washusha presha Simba

Dar es Salaam. Baada ya kunasa saini za wachezaji watatu, ni dhahiri presha imeshuka kwa uongozi Simba.

 

10 years ago

Mtanzania

Kiongera akabidhiwa jezi ya Mosoti Simba

Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera

Mshambuliaji mpya wa Simba, Paul Kiongera

NA HUSSEIN OMAR, UNGUJA

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Paul Kiongera, amewasili katika kambi ya timu hiyo, iliyopo mjini hapa kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayoanza Septemba 20, mwaka huu.

Simba imeweka kambi hapa ikiwa chini ya Kocha Mkuu wake, Mzambia Patrick Phiri na Jumamosi inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Gor Mahia ya Kenya, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Kiongera, aliyewasili hapa juzi usiku, jana alijumuika na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani