Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


N’daw afunga usajili Simba

Guirane-N-Daw-Birmingham-City-1024_2700680MWALI IBRAHIM NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI raia wa Senegal, Pape N’daw, ameifungia usajili klabu ya Simba baada ya juzi kufuzu majaribio yake na kupewa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo kwenye Ligi Kuu msimu huu unaotarajia kuanza Septemba 12.

Sambamba na mchezaji huyo pia Simba imempa mkataba wa miaka miwili Boniface Maganga kutoka kituo cha soka cha Marsh Athletes Academy kilichokua kinasimamiwa na aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Sylvster Marsh,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kocha Simba azidi kumkumbatia N’daw

PAMOJA na uongozi wa Simba kutoridhishwa na kiwango cha mshambuliaji raia wa Senegal, Pape Abdoulaye N’daw, kocha wa timu hiyo Dylan Kerr, ameendelea kusisitiza huyo bado ni mchezaji muhimu na kwamba kinachotakiwa ni kuendelea kumpa muda ili aweze kuzoea mazingira ya Ligi ya Tanzania Bara.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yawatupia virago N’daw na Sserunkuma, Kiongera ndani

Klabu ya Simba imeachana na washambuliaji wake, Pape N’daw na Simon Sserunkuma na kumrudisha kiungo Raphael Kiongera.

 

11 years ago

Mwananchi

Usajili Simba shaka

Kundi maarufu la Friends Of Simba wamesimamisha zoezi la usajili la wachezaji wa klabu hiyo wakidaiwa kupima kwanza upepo.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI SIMBA : Hatuwataki

Wakati Simba ikishindwa kusajili wachezaji nyota kwa madai ya kutokuwa kwenye hesabu zao za mwanzo, nyota hao wameibuka na kusema usajili wao ulikwamishwa na maneno matupu ya uongozi wa klabu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3

Kama mtindo wa kupiga kura utatumiwa na Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuamua hatima ya mshambuliaji Emmanuel Okwi, basi Yanga ina uhakika wa kupata kura nne na Simba kura tatu.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: ‘First Eleven’ mpya Simba!

>Matokeo yasiyoridhisha ya Simba katika Ligi Kuu msimu huu yameufanya uongozi wa klabu hiyo uchanganyikiwe na kutaka kusajili kila mchezaji wamwonaye wakati huu wa usajili wa dirisha dogo.

 

10 years ago

GPL

usajili wa Okwi waivuruga simba

Emmanuel Okwi. Waandishi Wetu,Dar es Salaam
HATIMAYE kigogo wa Simba, Zacharia Hans Poppe, ameamua kuzima utata uliokuwa ukienea katika ishu ya usajili wa mshambuliaji wao, Mganda, Emmanuel Okwi na kufafanua kuwa ameuzwa na si kwa majaribio kama taarifa zilizoenea hapo awali. Awali, kulikuwa na mkanganyiko wa taarifa mbili tofauti, ambapo nyingine zilisema Okwi ameuzwa huku nyingine zikikanusha kwamba anakwenda kufanya...

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Yanga, Simba yametimia

>Yanga imeshinda vita ya nje ya Uwanja baada ya kuipata saini ya kiungo Deus Kaseke aliyekuwa akiwaniwa na watani wao, Simba kwa muda mrefu.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yasafisha usajili wake

>Klabu ya Simba   imesema tayari imerekebisha kasoro  iliyojitokea kwenye usajili wake na  sasa hailazimiki kupunguza mchezaji  yeyote kwenye kikosi chake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani