USAJILI: Yanga, Simba yametimia
>Yanga imeshinda vita ya nje ya Uwanja baada ya kuipata saini ya kiungo Deus Kaseke aliyekuwa akiwaniwa na watani wao, Simba kwa muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 May
USAJILI: Ngassa yametimia Sauzi, Yanga kusajili 11 wapya
>Wakati Mrisho Ngassa akisaini mkataba wa miaka minne wa kuichezea Free State Stars ya Afrika Kusini, Yanga imesema itasajili wachezaji 11 wapya akiwamo mshambuliaji wa FC Platinum ya Zimbabwe, Donald Ngoma.
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3
Kama mtindo wa kupiga kura utatumiwa na Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuamua hatima ya mshambuliaji Emmanuel Okwi, basi Yanga ina uhakika wa kupata kura nne na Simba kura tatu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75pecdqB77AWyxEtfnTUfYXxEFIZe7bRJqIa1ih4MCrOTSrE*dRUNJ5aqZnYWvVef0TzWVEjLhjJv9JMWKa4Tvee/NYOTA.jpg?width=650)
Nyota Simba waomba usajili Yanga
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akihojiwa na wanahabari. Na Wilbert Molandi
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, baadhi ya wachezaji wa Simba wamepiga hodi kwenye Klabu ya Yanga na kuomba kusajiliwa na timu hiyo. Usajili wa ligi kuu unatarajiwa kufunguliwa Juni 16 na kumalizika mapema Agosti, mwaka huu.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya uongozi wa Yanga, wengi wa… ...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
USAJILI: Yanga, Simba zawatuliza Bossou, Majabvi
Wakongwe wa soka nchini, Yanga na Simba wamewatuliza nyota wao wa kimataifa beki wa Togo, Vicent Bossou na kiungo Mzimbabwe Justice Majabvi kwa kuwaahidi kuwasajili muda wowote wiki hii.
10 years ago
Mwananchi26 May
USAJILI: ‘Simba, Yanga zinajengea nyumba nyota’
>Winga wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amesema sasa ndiyo wakati wa Yanga na Simba kuwajengea nyumba wachezaji.
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Yanga waibeza Simba SC sakata la usajili wa Msuva
Uongozi wa Yanga umeibeza Simba juu ya kauli waliyoitoa hivi karibuni ya kudai kuwa wanaiandikia Yanga barua ya kutaka kumsajili winga wao Simon Msuva.
10 years ago
Mwananchi03 Jun
MAANDALIZI:Simba, Yanga zachelewesha usajili wa timu ndogo
Usajili wa nguvu unaoendelea kufanywa na Yanga, Simba umechangia kwa kiasi kikubwa kuchelewesha usajili wa timu zingine zitakazoshiriki Ligi Kuu msimu ujao.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wambura yametimia Simba
MICHAEL Richard Wambura aliyekuwa anawania nafasi ya uenyekiti katika klabu ya Simba kupitia uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, jijini Dar es Salaam, amechujwa katika mbio hizo kwa kutokuwa mwanachama....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania