Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota Simba waomba usajili Yanga

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akihojiwa na wanahabari. Na Wilbert Molandi
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, baadhi ya wachezaji wa Simba wamepiga hodi kwenye Klabu ya Yanga na kuomba kusajiliwa na timu hiyo. Usajili wa ligi kuu unatarajiwa kufunguliwa Juni 16 na kumalizika mapema Agosti, mwaka huu.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya uongozi wa Yanga, wengi wa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: ‘Simba, Yanga zinajengea nyumba nyota’

>Winga wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amesema sasa ndiyo wakati wa Yanga na Simba kuwajengea nyumba wachezaji.

 

11 years ago

GPL

Maximo ashikilia usajili wa nyota wanne Yanga

Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa hatima ya wachezaji wao wanne ambao mikataba yao imemalizika, ipo chini ya kocha mpya, Mbrazili, Marcio Maximo. Mbrazili huyo hivi sasa yupo katika mazungumzo ya mwisho na klabu hiyo kwa ajili ya kutua kuja kukinoa kikosi hicho akimrithi Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Nyota hao wanne ambao mikataba nayo imemalizika ni kipa Ali Mustapha...

 

9 years ago

MillardAyo

Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga wasajili nyota wawili …

Uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African usiku wa December 15 tukiwa tunaelekea kufunga dirisha la usajili imetangaza kukamilisha usajili wa nyota wawili. Yanga ambao walithibitisha kumtema mchezaji wa kimataifa wa Brazil aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Andry Coutinho wametangaza kusajili wachezaji wawili. Yanga wamethibtisha kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City na baadae Mwadui FC Paul […]

The post Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota 10 Simba, Yanga sokoni

Wakati dirisha dogo la usajili wa Ligi Kuu Tanzania Bara na Ligi Daraja la Kwanza linafunguliwa leo, wachezaji 10 wa Simba na Yanga wapo sokoni na klabu yoyote ruksa kuwanunua.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Yanga, Simba yametimia

>Yanga imeshinda vita ya nje ya Uwanja baada ya kuipata saini ya kiungo Deus Kaseke aliyekuwa akiwaniwa na watani wao, Simba kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3

Kama mtindo wa kupiga kura utatumiwa na Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuamua hatima ya mshambuliaji Emmanuel Okwi, basi Yanga ina uhakika wa kupata kura nne na Simba kura tatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota Simba, Yanga waingia mitini

Wakati Yanga na Simba zimerudi mazoezini kujiandaa na pambano lao la Nani Mtani Jembe 2, litakalofanyika Desemba 13, mazoezi yao yalianza na idadi ndogo ya wachezaji jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota hawa Simba, Yanga kwisha

 Klabu za Simba na Yanga zimefanya mabadiliko kwenye vikosi vyao na moja kwa moja watakuwa wameathiri nafasi za baadhi ya wachezaji wa vikosi hivyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga waibeza Simba SC sakata la usajili wa Msuva

Uongozi wa Yanga umeibeza Simba juu ya kauli waliyoitoa hivi karibuni ya kudai kuwa wanaiandikia Yanga barua ya kutaka kumsajili winga wao Simon Msuva.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani