Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota Simba, Yanga waingia mitini

Wakati Yanga na Simba zimerudi mazoezini kujiandaa na pambano lao la Nani Mtani Jembe 2, litakalofanyika Desemba 13, mazoezi yao yalianza na idadi ndogo ya wachezaji jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WASANII WAINGIA MITINI 40 YA GURUMO

   Ndugu, jamaa na marafiki wakisoma dua.   Baadhi ya wanamuziki na wadau wa muziki wa dansi nchini Juma Mbizo, Said Mabela, Kibiriti, Hassan Bichuka na Mbwembwe wakiwa nyumbani kwa marehemu Gurumo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya Nje ‘waingia mitini’ semina ya Bunge

Maofisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, waliokuwa wafike bungeni jana kutoa mada kuhusu suala la uraia pacha kwa wajumbe wa Bunge Maalumu, ‘waliingia mitini’.

 

9 years ago

Mtanzania

Walioahidi kuchangia ‘Chozi la Fukara’ waingia mitini

Muigizaji JohaNA MANENO SELANYIKA

MWIGIZAJI chipukizi nchini, Martine Tiho, amewataka wabunge, wasanii wenye majina makubwa katika sanaa na watu maarufu walioahidi michango ya fedha wakati alipozindua filamu yake ya ‘Chozi la Fukara’ watekeleze ahadi hizo ili aweze kukamilisha na kuipeleka filamu hiyo sokoni mapema kama alivyopanga.

Tiho alisema hakuna aliyekumbuka kutoa fedha walizomwahidi hivyo ameona bora awakumbushe kupitia gazetini kwamba filamu yake inatakiwa kuwa sokoni mapema mwishoni mwa mwezi...

 

9 years ago

Michuzi

FILIKUNJOMBE NJIA NYEUPE UBUNGE WAPINZANI WAKE WAINGIA MITINI

Deo  Filikunjombe (CCM)
Na  matukiodaimaBlog Ludewa ALIYEKUWA  mbunge   wa  jimbo la  Ludewa  Deo  Filikunjombe (CCM)  amepita  bila kupingwa  baada ya  mgombea  wa chama  cha Demokrasia na maendeleo (chadema) Barthomew Mkinga  kushindwa  kutimiza Masharti na Taratibu za Ujazaji wa Fomu.
Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Ludewa Bw  Wiliam Waziri alisema  jana   kuwa Mgombea wa Chadema ameshindwa kutimiza taratibu za ujazaji wa fomu hizo hivyo kukosa sifa ya kuwa Mgombea wa Ubunge...

 

9 years ago

Dewji Blog

Filikunjombe apita bila kupingwa, wapinzani wake waingia mitini na fomu

Fomu ya mgombea wa  Chadema ubunge Ludewa zikiwa hazijatimia baada ya tomu ya tamko kukosekana. Fomu ya  mgombea  wa Chadema  ikiwa haijazwa senemu ya  tarehe ,mwezi na mwaka. blogger-image-737464366

Mzee  Kada  wa Chadema  akimpongeza  mbunge wa  Ludewa, Deo Filikunjombe baada ya kupewa  barua ya kupita bila kupingwa.

Mbunge  wa  Ludewa, Deo  Filikunjombe akizungumza na  wanachama  wa CCM na  wananchi wa Ludewa baada ya  kupita  bila  kupingwa. blogger-image--1715103721

Filikunjombe akionyesha barua ya  kupita bila kupingwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota 10 Simba, Yanga sokoni

Wakati dirisha dogo la usajili wa Ligi Kuu Tanzania Bara na Ligi Daraja la Kwanza linafunguliwa leo, wachezaji 10 wa Simba na Yanga wapo sokoni na klabu yoyote ruksa kuwanunua.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota hawa Simba, Yanga kwisha

 Klabu za Simba na Yanga zimefanya mabadiliko kwenye vikosi vyao na moja kwa moja watakuwa wameathiri nafasi za baadhi ya wachezaji wa vikosi hivyo.

 

11 years ago

GPL

Nyota Simba waomba usajili Yanga

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akihojiwa na wanahabari. Na Wilbert Molandi
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, baadhi ya wachezaji wa Simba wamepiga hodi kwenye Klabu ya Yanga na kuomba kusajiliwa na timu hiyo. Usajili wa ligi kuu unatarajiwa kufunguliwa Juni 16 na kumalizika mapema Agosti, mwaka huu.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya uongozi wa Yanga, wengi wa… ...

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: ‘Simba, Yanga zinajengea nyumba nyota’

>Winga wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amesema sasa ndiyo wakati wa Yanga na Simba kuwajengea nyumba wachezaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani