WASANII WAINGIA MITINI 40 YA GURUMO
  Ndugu, jamaa na marafiki wakisoma dua.  Baadhi ya wanamuziki na wadau wa muziki wa dansi nchini Juma Mbizo, Said Mabela, Kibiriti, Hassan Bichuka na Mbwembwe wakiwa nyumbani kwa marehemu Gurumo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Nyota Simba, Yanga waingia mitini
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Mambo ya Nje ‘waingia mitini’ semina ya Bunge
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Walioahidi kuchangia ‘Chozi la Fukara’ waingia mitini
NA MANENO SELANYIKA
MWIGIZAJI chipukizi nchini, Martine Tiho, amewataka wabunge, wasanii wenye majina makubwa katika sanaa na watu maarufu walioahidi michango ya fedha wakati alipozindua filamu yake ya ‘Chozi la Fukara’ watekeleze ahadi hizo ili aweze kukamilisha na kuipeleka filamu hiyo sokoni mapema kama alivyopanga.
Tiho alisema hakuna aliyekumbuka kutoa fedha walizomwahidi hivyo ameona bora awakumbushe kupitia gazetini kwamba filamu yake inatakiwa kuwa sokoni mapema mwishoni mwa mwezi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gEvEsX4FLfU/VdsZ6xxfzlI/AAAAAAAHzo4/xIWnkz_1cF4/s72-c/DSC_0153.jpg)
FILIKUNJOMBE NJIA NYEUPE UBUNGE WAPINZANI WAKE WAINGIA MITINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gEvEsX4FLfU/VdsZ6xxfzlI/AAAAAAAHzo4/xIWnkz_1cF4/s640/DSC_0153.jpg)
Na matukiodaimaBlog Ludewa ALIYEKUWA mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe (CCM) amepita bila kupingwa baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) Barthomew Mkinga kushindwa kutimiza Masharti na Taratibu za Ujazaji wa Fomu.
Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Ludewa Bw Wiliam Waziri alisema jana kuwa Mgombea wa Chadema ameshindwa kutimiza taratibu za ujazaji wa fomu hizo hivyo kukosa sifa ya kuwa Mgombea wa Ubunge...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Filikunjombe apita bila kupingwa, wapinzani wake waingia mitini na fomu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-j_awmLdlqTQ/VdsZpAdIRAI/AAAAAAACAEY/Buc04cooQOE/s640/blogger-image--1635206624.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4RDuPCMDd1E/VdsVXTvQwbI/AAAAAAACAEM/JlChphoiar4/s640/blogger-image--816864011.jpg)
![blogger-image-737464366](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-737464366.jpg)
Mzee Kada wa Chadema akimpongeza mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe baada ya kupewa barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-ha9uY3b3FRo/VdsTx91s_8I/AAAAAAACADo/OqlD12You68/s640/blogger-image-2045842457.jpg)
![blogger-image--1715103721](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-1715103721.jpg)
Filikunjombe akionyesha barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-TUU_ukM5QV8/VdsT2STiLSI/AAAAAAACADw/chGpXPraTPM/s640/blogger-image--1568280623.jpg)
10 years ago
Bongo Movies19 Aug
MPASUKO Bongo movies! Steve nyerere adaiwa kuingia mitini na hela za maandalizi ya maombi ya wasanii waliofariki
Klabu ya Bongo Movie Unity imedaiwa kuingia kwenye mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kuachia ngazi kwa madai ya kuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amechikichia mtonyo (fedha) mwingi wa klabu kwa masilahi yake
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho ndani ya klabu hiyo, juzikati viongozi wote wa klabu hiyo walikaa kikao kilichoitishwa na katibu wao, William Mtitu ambacho kilikuwa na lengo la kujadili jinsi ya kumwajibisha Steve Nyerere kwa madai hayo.
“Kuna...
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Kocha Etoile aingia mitini
NA ONESMO KAPINGA
KOCHA Mkuu wa Etoile du Sahel ya Tunisia, Faouzi Benzarti, ameingia mitini baada ya kushindwa kutokea katika mkutano wa makocha na waandishi wa habari ulioandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Benzarti alishindwa kuhudhuria mkutano huo kwa madai walichoka baada ya kuwa angani kwa saa tisa wakitokea Tunisia ambapo waliwasili Dar es Salaam jana alfajiri.
Kwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/Ugvao0mAfe6Jnx*LpxtOFCwBsnYH-ma-JxlA32C251svS1VlLFJp5p0HSBv4E6mL5FQydY*Ye0T0TCT-mKL8luD-gIYKjTsI/RAYUU.jpg?width=650)
RAYUU: WANAUME WANNE WAMEINGIA MITINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOrfy16inh5JleImo*Pr9CYM-vNDf7ssyPqQnnL7DlfV03hG*MJnvD1xb7qd4omhn91O*L*DIofVtYgknw9UeWuP/ndoa.jpg)
BWANA HARUSI AINGIA MITINI NDOA YABUMA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10