Kocha Etoile aingia mitini
NA ONESMO KAPINGA
KOCHA Mkuu wa Etoile du Sahel ya Tunisia, Faouzi Benzarti, ameingia mitini baada ya kushindwa kutokea katika mkutano wa makocha na waandishi wa habari ulioandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Benzarti alishindwa kuhudhuria mkutano huo kwa madai walichoka baada ya kuwa angani kwa saa tisa wakitokea Tunisia ambapo waliwasili Dar es Salaam jana alfajiri.
Kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
BWANA HARUSI AINGIA MITINI NDOA YABUMA
10 years ago
Habarileo29 Aug
Mashali aingia mitini kupima uzito Dar
BONDIA Thomas Mashali jana alishindwa kutokea kwenye upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wake wa leo dhidi ya Ibrahim Tamba utakaofanyika kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam. Pambano lao litatanguliwa na mapambano ya awali 10.
11 years ago
GPL
NDUGU AINGIA MITINI NA RAMBIRAMBI MSIBA WA TYSON
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Kocha wa City aingia mchecheto
11 years ago
GPLWASANII WAINGIA MITINI 40 YA GURUMO
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Nyota Simba, Yanga waingia mitini
10 years ago
GPL
RAYUU: WANAUME WANNE WAMEINGIA MITINI
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Walioahidi kuchangia ‘Chozi la Fukara’ waingia mitini
NA MANENO SELANYIKA
MWIGIZAJI chipukizi nchini, Martine Tiho, amewataka wabunge, wasanii wenye majina makubwa katika sanaa na watu maarufu walioahidi michango ya fedha wakati alipozindua filamu yake ya ‘Chozi la Fukara’ watekeleze ahadi hizo ili aweze kukamilisha na kuipeleka filamu hiyo sokoni mapema kama alivyopanga.
Tiho alisema hakuna aliyekumbuka kutoa fedha walizomwahidi hivyo ameona bora awakumbushe kupitia gazetini kwamba filamu yake inatakiwa kuwa sokoni mapema mwishoni mwa mwezi...
11 years ago
Mwananchi31 Aug
Mambo ya Nje ‘waingia mitini’ semina ya Bunge