Mashali aingia mitini kupima uzito Dar
BONDIA Thomas Mashali jana alishindwa kutokea kwenye upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wake wa leo dhidi ya Ibrahim Tamba utakaofanyika kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam. Pambano lao litatanguliwa na mapambano ya awali 10.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Kocha Etoile aingia mitini
NA ONESMO KAPINGA
KOCHA Mkuu wa Etoile du Sahel ya Tunisia, Faouzi Benzarti, ameingia mitini baada ya kushindwa kutokea katika mkutano wa makocha na waandishi wa habari ulioandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa leo katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Benzarti alishindwa kuhudhuria mkutano huo kwa madai walichoka baada ya kuwa angani kwa saa tisa wakitokea Tunisia ambapo waliwasili Dar es Salaam jana alfajiri.
Kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZClWuZcsZqUM24K*j7gmD7XPjYF0gXqkA1uXmKQx8L9jCMWk-GhdZ0njsDVKLYefY01sYf6s5japV7Py0cmCIzwR/tyson.jpg?width=650)
NDUGU AINGIA MITINI NA RAMBIRAMBI MSIBA WA TYSON
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOrfy16inh5JleImo*Pr9CYM-vNDf7ssyPqQnnL7DlfV03hG*MJnvD1xb7qd4omhn91O*L*DIofVtYgknw9UeWuP/ndoa.jpg)
BWANA HARUSI AINGIA MITINI NDOA YABUMA
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Kaseba, Alibaba kupima uzito leo
MABONDIA Japheth Kaseba wa jijini Dar es Salaam na Alibaba Ramadhani wa Arusha, leo majira ya saa 4 asubuhi watapima afya na uzito katika Ukumbi wa Hoteli ya Friends Corner...
9 years ago
Habarileo21 Aug
King Mawe, Mulo kupima uzito leo
MABONDIA Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ na Ally Mulo wanatarajia kupima uzito leo kwa ajili ya pambano lao litakalofanyika kesho katika viwanja vya shule ya Uhuru Wasichana Kariakoo Dar es Salaam.
9 years ago
VijimamboMABONDIA KUPIMA UZITO IJUMAA KUPIGANA JUMAMOSI KARIAKOO UHURU WASICHANA
akizungumzia mpambano uho mratibu ambaye pia ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema mabondia hawo watapima uzito siku ya ijumaa sdaa tatu asubui kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jumamosi agost 22
mbali na mabondia...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s72-c/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
MABONDIA KUPIMA UZITO IJUMAA STEND YA BAGAMOYO KWA AJILI YA MPAMBANO WA JUMAMOSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s1600/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
uliopo Bagamoyo mjini ambapo mabondia hawo watamalizia ubishi wao wa nani zaidi kati ya bagamoyo na Chanika
mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za kulipwa P.S.T litakuwa la raundi sita na kg 61 ambapo kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi siku...
11 years ago
TheCitizen10 Aug
Maugo silences Mashali in Dar