Maugo silences Mashali in Dar
Veteran boxer Mada Maugo walked into the ring on Friday at the National Stadium as the underdog in his rematch with Thomas Mashali. He walked out the winner.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-xhg2Pr8tjKPPfooNGHpwloE0g*MclUo1a2ub4*t1i*A86mmbuKHBhaNk4**HJPzQS1i*8D5SW-5WXyfmM9rysi/MAUGONAMASHALI.jpg?width=650)
MADA MAUGO AMDUNDA THOMAS MASHALI
BONDIA Mada Maugo amemshushia kichapo bondia Thomas Mashali katika mpambano wao kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Bondia Thomas Mashali (kushoto) akikabiliana na Mada Maugo kwenye Tamasha la Matumaini 2014.…
11 years ago
TheCitizen15 Jul
Big fight: Mashali and Maugo renew rivalry
Tanzania’s boxing sensations Thomas Mashali and Maga Maugo will go glove-to-glove vying for the Night of Hope Festival middleweight title at the National Stadium on August 8.
11 years ago
Michuzi09 Aug
MADA MAUGO ALIPA KISASI CHA KUPIGWA NA THOMASI MASHALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CoYQvQdPPqMJ2Hk-EXrcBIcLfelzB0l2M5os19*jFQZ09Yc2SYotlaABMkUhHlTt4gLBaVAX0OBugxuBMs8OFgT/Tamashalamatumaini.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 MASHALI, MAUGO KUMALIZA UBISHI AGOSTI
Mabondia Mada Maugo na Thomas Mashali ‘Simba Asiyefugika’, wakitunishiana misuli. Na Nassor Gallu SIKU zinazidi kukatika huku maandalizi yakipamba moto kuelekea katika tamasha babkubwa linalojulikana kama Usiku wa Matumaini 2014 (Night of Hope) linalotarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, mwaka huu. Katika tamasha… ...
11 years ago
GPL03 Aug
MASHALI, MAUGO WATAMBIANA KUELEKEA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8, 2014
“Mabondia Thomas Mashali na Mada Maugo kila mtu anajua upinzani wao ulivyo, kila mmoja anataka kuthibitisha kuwa yeye ni bora. Mada Maugo na Thomas Mashali, kila mmoja amejitapa kumchakaza mwenzake katika pambano hilo .
“Lakini kabla ya hapo kutakuwa na mapambano ya utangulizi ambapo staa wa Bendi ya Mapacha Watatu, Khalid Chokoraa atapigana na Said Memba, Mbunge wa Nzega, Dokta Hamisi Kigwangala akichapana na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg17grHYujYO5**nTRQCbKhWfw885zNJSjx3SoZjSiVnuAvNt5C590tRpYxsKL7V7wIcZQQ22Ih8faefrZfe0alB/1.jpg?width=650)
MASHALI, MAUGO USO KWA USO TAMASHA LA MATUMAINI
Mada Maugo (Kulia) akisaini mkataba huku Rais wa TPBO Yassin Abdallah akimwangalia kwa makini.
Thomas Mashali (Kulia) naye akisaini mkataba.
Mabondia Mada Maugo (Kushoto) na Thomas Mashali wakitunishiana…
9 years ago
Habarileo29 Aug
Mashali aingia mitini kupima uzito Dar
BONDIA Thomas Mashali jana alishindwa kutokea kwenye upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wake wa leo dhidi ya Ibrahim Tamba utakaofanyika kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam. Pambano lao litatanguliwa na mapambano ya awali 10.
10 years ago
Michuzi14 Nov
BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUARI MOSSI,JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MADA MAUGO NA KALAMA NYILAWILA WASAIDI KUZIPIGA MARCH 8 P.T.A SABASABA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania