BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUARI MOSSI,JIJINI DAR
Bondia Thomasi Mashali (kushoto) akitia saini ya mkataba wa makubaliano ya kuzipiga na Bondia Abbdallah Pazi (kulia) mbele ya promota Kassim Texas (katikati) mpambano utakaofanyika januari mosi katika ukumbi wa friends corner,Manzese jijini Dar es salaam.
Bondia Thomasi Mashali (kushoto) akitunishiana misuli na Abdallah Pazi baada ya makubaliano yao ya kuzipiga katika mpambano wao,utakaofanyika Januari Mosi 2015 katika ukumbi wa Friends Corner,Manzese jijini Dar es salaam.Picha na SUPER D...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUAR MOSI 2015 FRENDS CORNER
11 years ago
GPLBONDIA THOMAS MASHALI APATA AJARI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hj-NRuW0FpY/U7naBIPOIRI/AAAAAAAFva4/35AzEsLcjEY/s72-c/unnamed.jpg)
Mtambo wa Gongo na Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) kuzipiga Augosti 10,2014 jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hj-NRuW0FpY/U7naBIPOIRI/AAAAAAAFva4/35AzEsLcjEY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OOqlynd1fyw/U7naBMPyWfI/AAAAAAAFvas/wxR8EFkD8EY/s1600/unnamed.jpgk.jpg)
10 years ago
Vijimambo05 Jun
BONDIA MRISHO RAJABU 'DAME' ATAMBA KUMCHAKAZA ABDALLAH PAZI JUNE 14 BAGAMOYO
Bondia Mrisho Rajabu 'Dame' amempania kumchakaza katika raundi za awali bondia Abdalla Pazi 'Mfalme wa Wazalamu' katika mpambano wao wa raundi sita utakaofanyika katika ukumbi wa TASUBA uliopo Bagamoyo mjini juni 14
Rajabu amesema atahakikisha awapi tabu majaji kwa kumsambalatisha kwa K,O ya raundi za awali wakati wa mpambano wao ambao umevuta isia za watu wengi wa Dar es salaam na mkoa wa Pwani
siku hiyo pia kutakuwa na mapambano ya utangulizi ambapo Iddi Pialali 'Simba...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FsvKJD8qlCo/VHWn4FVl7bI/AAAAAAAGzgU/hJj2tzTI8Fw/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Bondia Zumba Kukwe ataka kuzichapa na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila
![](http://4.bp.blogspot.com/-FsvKJD8qlCo/VHWn4FVl7bI/AAAAAAAGzgU/hJj2tzTI8Fw/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Na John Gagarini, Kibaha
BONDIA Zumba Kukwe wa Maili Moja wilayani Kibaha Mkoani Pwani ambaye leo anapambana na bondia Sweet Kalulu amesema kuwa lengo lake kubwa ni kupambana na Thomas Mashali au Kalama Nyilawila.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Kibaha wakati wakipima uzito na kupima afya kwenye...
11 years ago
GPLKASEBA, MASHALI KUZIPIGA MACHI 29 MWAKA HUU
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RA2dpPjaP5s/UwRtgByYzNI/AAAAAAAFN5w/SwxR3bntw6U/s72-c/unnamed+(55).jpg)
MABONDIA KASEBA NA MASHALI WASAINI KUZIPIGA MACHI 29, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-RA2dpPjaP5s/UwRtgByYzNI/AAAAAAAFN5w/SwxR3bntw6U/s1600/unnamed+(55).jpg)
Mabondia Thomas mashali na Japhet kaseba wamesaini makubaliano ya kucheza pambano la ubingwa wa mabara wa Universal Boxing Organization (UBO) pambano litakalopigwa tarehe 29 march 2014 katika ukumbi wa Karume hall zamani ukiitwa PTA hall. Pambano hilo linaandaliwa na mratibu mashuhuri katika masuala ya ngumi za kulipwa nchini hususani pande za Tanga Ally Mwanzoa alifurahishwa sana kwa nidhamu iliyooneshwa na mabondia hao wakati wa zoezi la kusaini mkataba wa makubaliano hayo...
10 years ago
TheCitizen31 Dec
Mashali vows to knock out Pazi in New Year eve bout
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-xhg2Pr8tjKPPfooNGHpwloE0g*MclUo1a2ub4*t1i*A86mmbuKHBhaNk4**HJPzQS1i*8D5SW-5WXyfmM9rysi/MAUGONAMASHALI.jpg?width=650)
MADA MAUGO AMDUNDA THOMAS MASHALI