Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KASEBA, MASHALI KUZIPIGA MACHI 29 MWAKA HUU

Viongozi wa ngumi na mabondia Thomas Mashali na Japhet Kaseba wakitambulisha mpambano huo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MABONDIA KASEBA NA MASHALI WASAINI KUZIPIGA MACHI 29, 2014


Mabondia Thomas mashali na Japhet kaseba wamesaini makubaliano ya kucheza  pambano la ubingwa wa mabara wa Universal Boxing Organization (UBO) pambano litakalopigwa tarehe 29 march 2014 katika ukumbi wa Karume hall zamani ukiitwa PTA hall.  Pambano hilo linaandaliwa na mratibu mashuhuri katika masuala ya ngumi za kulipwa nchini hususani pande za Tanga Ally Mwanzoa alifurahishwa sana kwa nidhamu iliyooneshwa na mabondia hao wakati wa zoezi la kusaini mkataba wa makubaliano hayo...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014… WABUNGE GANI KUZIPIGA MWAKA HUU?

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (kushoto) akionyeshana umwamba na staa wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper katika Tamasha la Matumaini 2013. MWAKA jana wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Halima Mdee (Mbunge wa Kawe), Ester Bulaya (Viti Maalum, Mkoa wa Mara) walizipiga na wasanii wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper na Aunt Ezekiel, swali linalowasumbua akilini mashabiki wa Tamasha la Matumaini ni wabunge gani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashali amzima Kaseba

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali ‘Simba asiyefugika’, juzi alifanikiwa kutwaa ubingwa wa UBO Afrika baada ya kumshinda kwa pointi 97-93 Japhet Kaseba ‘Champion’. Licha ya Mashali kushinda...

 

11 years ago

TheCitizen

Kaseba, Mashali face moment of truth in UBO bout

Tanzania’s professional boxing scene, once again, has had an opportunity to wallow in the limelight as renowned super middleweight boxers, Japhet Kaseba and Thomas Mashali, are expected to clash in a Universal Boxing Organisation (UBO)-sanctioned International Light Heavyweight title bout in the division on March 29.

 

11 years ago

Michuzi

KALAMA NYILAWILA ASAINI MKATABA WA KUCHEZA NA BINGWA KATI YA MASHALI AU KASEBA MEI MOSI

Bondia Kalama Nyilawila katikati akitia saini ya kucheza pambano siku ya mei mosi atacheza na Thomasi Mashali au Japhert Kaseba inategemea na mshindi wa mechi hiyo ya March 29 itakayofanyika PTA Sabasaba kulia ni Alli Mwazoa na Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ustaadhi' 
Promota wa ngumi nchini Ali Mwazoa akipeana mkono na Rais wa TPBO Yassin Abdallah 'Ustaadhi baada ya kumsainisha bondia Kalama Nyilawila katikati anaetarajia kuzipiga Mei Mosi.
Bondia Kalama Nyilawila ameingia...

 

5 years ago

CCM Blog

UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUANZA MACHI 17 MWAKA HUU

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Mstaafu, Francis Mutungi akifafanua jambo wakati wa Mkutano wake na Viongozi Wakuu wa Vyama vya Siasa kuhusu Uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini  unaotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Machi 17, 2020 kwa lengo la kuimarisha uhai wa vyama hivyo.

Na Mwandishi Maalum
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Mstaafu Francis Mutungi amesema zoezi la uhakiki wa vyama vya siasa linalotarajia kuanza Machi 17, mwaka huu, halina malengo ya kufuta usajili wa vyama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani