Mashali amzima Kaseba
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali ‘Simba asiyefugika’, juzi alifanikiwa kutwaa ubingwa wa UBO Afrika baada ya kumshinda kwa pointi 97-93 Japhet Kaseba ‘Champion’. Licha ya Mashali kushinda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKASEBA, MASHALI KUZIPIGA MACHI 29 MWAKA HUU
Viongozi wa ngumi na mabondia Thomas Mashali na Japhet Kaseba wakitambulisha mpambano huo.…
11 years ago
TheCitizen24 Mar
Kaseba, Mashali face moment of truth in UBO bout
Tanzania’s professional boxing scene, once again, has had an opportunity to wallow in the limelight as renowned super middleweight boxers, Japhet Kaseba and Thomas Mashali, are expected to clash in a Universal Boxing Organisation (UBO)-sanctioned International Light Heavyweight title bout in the division on March 29.
11 years ago
Michuzi.jpg)
MABONDIA KASEBA NA MASHALI WASAINI KUZIPIGA MACHI 29, 2014
.jpg)
Mabondia Thomas mashali na Japhet kaseba wamesaini makubaliano ya kucheza pambano la ubingwa wa mabara wa Universal Boxing Organization (UBO) pambano litakalopigwa tarehe 29 march 2014 katika ukumbi wa Karume hall zamani ukiitwa PTA hall. Pambano hilo linaandaliwa na mratibu mashuhuri katika masuala ya ngumi za kulipwa nchini hususani pande za Tanga Ally Mwanzoa alifurahishwa sana kwa nidhamu iliyooneshwa na mabondia hao wakati wa zoezi la kusaini mkataba wa makubaliano hayo...
11 years ago
Michuzi21 Feb
KALAMA NYILAWILA ASAINI MKATABA WA KUCHEZA NA BINGWA KATI YA MASHALI AU KASEBA MEI MOSI
Bondia Kalama Nyilawila ameingia...
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Djokovic amzima Federer Wimbledon
Novack Djokovic alimbwaga Roger Federer na kutwaa ubingwa wa Wimbledon.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Kaseba: Bora sijapigwa KO
Baada ya kushushiwa kipigo, bondia Japhet Kaseba amesema jambo lililompa faraja ni kutopigwa kwa Knock Out (KO) na Thomas Mashali katika pambano lao la kuwania ubingwa wa UBO Afrika lililofanyika kwenye ukumbi wa PTA, Sabasaba jijini Dar es Salaam juzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania