Djokovic amzima Federer Wimbledon
Novack Djokovic alimbwaga Roger Federer na kutwaa ubingwa wa Wimbledon.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Federer ,Djokovic wasonga mbele
9 years ago
TheCitizen28 Dec
Djokovic, Federer in $100m deal
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Novak Djokovic ambwaga Roger Federer.
9 years ago
Bongo523 Nov
Novak Djokovic amshinda Roger Federer katika mashindano ya ATP
![2EB5499A00000578-0-image-a-7_1448233966202](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EB5499A00000578-0-image-a-7_1448233966202-300x194.jpg)
Mchezaji tenisi namba moja Duniani kutoka Serbia, Novak Djokovic amemaliza msimu wake vizuri kwa ushindi dhidi ya Roger Federer.
Ameweka rekodi ya taji la nne mfululizo la mashindano ya ATP.
Djokovic alifanikiwa kushinda kwa seti 6-3, 6-4 katika dakika 80 za mchezo huko London, na aliweza kusahihisha makosa yake baada ya mechi ya mwanzo ya makundi kufungwa na Roger Federer.
Mpaka sasa Djokovic anamaliza mwaka huu kwa kushinda mataji 11 yakiwemo ya matatu ya Gland slam, na kwa upande wake...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Mashali amzima Kaseba
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali ‘Simba asiyefugika’, juzi alifanikiwa kutwaa ubingwa wa UBO Afrika baada ya kumshinda kwa pointi 97-93 Japhet Kaseba ‘Champion’. Licha ya Mashali kushinda...
10 years ago
StarTV12 Jul
Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711151318_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711154007_serena_williams_win_wimbledon2015_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711142032_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.
Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Serena na Venus kuchuana-Wimbledon.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Murray atinga nusu fainali Wimbledon
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Wimbledon:Serena na Sharapova nusu fainali