Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Djokovic amzima Federer Wimbledon

Novack Djokovic alimbwaga Roger Federer na kutwaa ubingwa wa Wimbledon.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Federer ,Djokovic wasonga mbele

Nyota wa tenesi Roger Federer ameendeleza ushindi kwa asilimia mia katika mashindano ya wanaume ya tenesi ya dunia

 

9 years ago

TheCitizen

Djokovic, Federer in $100m deal

Novak Djokovic and Roger Federer are poised to become the first $100 million men in tennis in 2016, in a gripping sub-plot to the new Grand Slam season.

 

9 years ago

BBCSwahili

Novak Djokovic ambwaga Roger Federer.

Mchezaji Tenisi namba moja Duniani kutoka Serbia, Novak Djokovic amemaliza msimu wake kwa ushindi dhidi ya Roger Federer.

 

9 years ago

Bongo5

Novak Djokovic amshinda Roger Federer katika mashindano ya ATP

2EB5499A00000578-0-image-a-7_1448233966202

Mchezaji tenisi namba moja Duniani kutoka Serbia, Novak Djokovic amemaliza msimu wake vizuri kwa ushindi dhidi ya Roger Federer.

2EB463EA00000578-3329545-image-a-47_1448222732205

Ameweka rekodi ya taji la nne mfululizo la mashindano ya ATP.

Djokovic alifanikiwa kushinda kwa seti 6-3, 6-4 katika dakika 80 za mchezo huko London, na aliweza kusahihisha makosa yake baada ya mechi ya mwanzo ya makundi kufungwa na Roger Federer.

Mpaka sasa Djokovic anamaliza mwaka huu kwa kushinda mataji 11 yakiwemo ya matatu ya Gland slam, na kwa upande wake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashali amzima Kaseba

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali ‘Simba asiyefugika’, juzi alifanikiwa kutwaa ubingwa wa UBO Afrika baada ya kumshinda kwa pointi 97-93 Japhet Kaseba ‘Champion’. Licha ya Mashali kushinda...

 

10 years ago

StarTV

Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon


Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza

Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

null
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.

null
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.

Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Serena na Venus kuchuana-Wimbledon.

Serena Williams na nduguye Venus wanatarajiwa kuvaana leo katika mchezo wa mzunguko wa nne wa mashindano ya Wimbledon.

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray atinga nusu fainali Wimbledon

Muingereza Andy Murray ameingia nusu fainali yake ya sita kwenye michuano ya Wimbledon katika kipindi cha miaka saba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wimbledon:Serena na Sharapova nusu fainali

Serena Williams ameratibiwa kuchuana na Mrusii Maria Sharapova katika nusu fainali ya mashindano ya Wimbledon hapo kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani