Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon
Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711154007_serena_williams_win_wimbledon2015_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711142032_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.
Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Serena na Venus kuchuana-Wimbledon.
Serena Williams na nduguye Venus wanatarajiwa kuvaana leo katika mchezo wa mzunguko wa nne wa mashindano ya Wimbledon.
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Wimbledon:Serena na Sharapova nusu fainali
Serena Williams ameratibiwa kuchuana na Mrusii Maria Sharapova katika nusu fainali ya mashindano ya Wimbledon hapo kesho.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Serena Williams bingwa US Open
Serena Williams, ametwaa ubingwa wa US Open baada ya kumshinda Caroline Wozniacki
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Murray ajipa changamoto tenis
Mchezaji nambari tatu kwa ubora duniani katika tenis amejipa changamoto katika pambano la Jumatatu
10 years ago
GPLKLABU YA TENIS YA WATOTO MAZOEZINI
Kocha Ismail akiwafundisha watoto namna ya kutumia mpira wa tenisi.
Watoto wakifanya mazoezi ya…
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Djokovic ambwaga Jo-Tsonga,Tenis
Mchezaji Tenis kutoka serbia Novac Djokovic amefanikiwa kumshinda Jo-Wilfred Tsonga kwenye fainali za shanghai.
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Radwanska ashinda tenis Singapore
Mpoland Agnieszka Radwanska amembamiza mshindi wa Wimbledon Petra Kvitova huko Singapore.
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Djokovic amzima Federer Wimbledon
Novack Djokovic alimbwaga Roger Federer na kutwaa ubingwa wa Wimbledon.
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Murray kucheza raundi ya pili Wimbledon
Andy Murray na Waingereza wenzake watatu wamefuzu kucheza raundi ya pili ya michuano ya tenis ya Wimbledon
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania