Radwanska ashinda tenis Singapore
Mpoland Agnieszka Radwanska amembamiza mshindi wa Wimbledon Petra Kvitova huko Singapore.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-w2RDBG9Mj8Q/VRAY1sF9UfI/AAAAAAAAb_Y/KVnIIMxQJWQ/s72-c/singapore2.jpg)
President Kikwete sent's a condolence message to H.E. Lee Hsien Loong, Prime Minister of Singapore following the death of his father and founding Prime Minister of Singapore, the late Mr. Lee Kuan Yew.
![](http://1.bp.blogspot.com/-w2RDBG9Mj8Q/VRAY1sF9UfI/AAAAAAAAb_Y/KVnIIMxQJWQ/s1600/singapore2.jpg)
10 years ago
StarTV12 Jul
Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711151318_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711154007_serena_williams_win_wimbledon2015_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711142032_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.
Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Murray ajipa changamoto tenis
Mchezaji nambari tatu kwa ubora duniani katika tenis amejipa changamoto katika pambano la Jumatatu
10 years ago
GPLKLABU YA TENIS YA WATOTO MAZOEZINI
Kocha Ismail akiwafundisha watoto namna ya kutumia mpira wa tenisi.
Watoto wakifanya mazoezi ya…
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Djokovic ambwaga Jo-Tsonga,Tenis
Mchezaji Tenis kutoka serbia Novac Djokovic amefanikiwa kumshinda Jo-Wilfred Tsonga kwenye fainali za shanghai.
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Tenis kuzikutanisha Nchi za Afrika Misri
Tanzania,Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi zitakashiriki michuano ya Afrika ya tenisi kwa vijana chini ya miaka 18.
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wakali wa tenis wachuana mjini Paris
Mpambano mkali unawakutanisha wakali wa tenisi duniani kwa upande wa wanaume Rafael Nadal na Novak Djokovic
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Hoteli ya wanyama yafunguliwa Singapore
Hoteli moja ya kifahari ya wanyama wa kufugwa nyumbani imefunguliwa nchini Singapore.
10 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-dNu62s3q-ao/VMu7XLAGzVI/AAAAAAAABOQ/4pUGruinZn0/s72-c/BLG%2B1.jpg)
CYBERSECURITY AGENCY TO BE FORMED IN SINGAPORE
![](http://4.bp.blogspot.com/-dNu62s3q-ao/VMu7XLAGzVI/AAAAAAAABOQ/4pUGruinZn0/s1600/BLG%2B1.jpg)
This is a rare radical step towards the fight against cybercrimes in Singapore which came at the...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania