KLABU YA TENIS YA WATOTO MAZOEZINI
Kocha Ismail akiwafundisha watoto namna ya kutumia mpira wa tenisi. Watoto wakifanya mazoezi ya…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Radwanska ashinda tenis Singapore
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Djokovic ambwaga Jo-Tsonga,Tenis
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Murray ajipa changamoto tenis
10 years ago
StarTV12 Jul
Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711151318_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711154007_serena_williams_win_wimbledon2015_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711142032_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.
Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Tenis kuzikutanisha Nchi za Afrika Misri
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wakali wa tenis wachuana mjini Paris
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Babi aibukia mazoezini Yanga SC