Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KLABU YA TENIS YA WATOTO MAZOEZINI

Kocha Ismail akiwafundisha watoto namna ya kutumia mpira wa tenisi.
Watoto wakifanya mazoezi ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA

Mkurugenzi wa klabu ya riadha ya Holili (HYAC) Domician Genand akizungumza juu ya maandalizi ya mbio za kimataifa za Kilimanjaro Maratahoni kwa wanariadha wake ambao baadhi yao amewapeleka nchini Kenya kwa ajili ya mazoezi.Baadhi ya wanariadha walioko katika kambi ya klabu ya riadha ya Holili wakicheza Draft ambapo miongoni mwao yumo mkimbiaji wa Kimataifa ,Osward Levelian ambaye anajiandaa na Mbio za Marathoni kilometa 42 zitakazofanyika nchini Nchina hivi karibuni.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Radwanska ashinda tenis Singapore

Mpoland Agnieszka Radwanska amembamiza mshindi wa Wimbledon Petra Kvitova huko Singapore.

 

9 years ago

BBCSwahili

Djokovic ambwaga Jo-Tsonga,Tenis

Mchezaji Tenis kutoka serbia Novac Djokovic amefanikiwa kumshinda Jo-Wilfred Tsonga kwenye fainali za shanghai.

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray ajipa changamoto tenis

Mchezaji nambari tatu kwa ubora duniani katika tenis amejipa changamoto katika pambano la Jumatatu

 

10 years ago

StarTV

Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon


Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza

Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

null
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.

null
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.

Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tenis kuzikutanisha Nchi za Afrika Misri

Tanzania,Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi zitakashiriki michuano ya Afrika ya tenisi kwa vijana chini ya miaka 18.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakali wa tenis wachuana mjini Paris

Mpambano mkali unawakutanisha wakali wa tenisi duniani kwa upande wa wanaume Rafael Nadal na Novak Djokovic

 

11 years ago

Mwananchi

Babi aibukia mazoezini Yanga SC

>Kiungo wa zamani wa Yanga, Abdi Kassim ‘Babi’ ameibukia kwenye mazoezi ya timu hiyo jana yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani