Babi aibukia mazoezini Yanga SC
>Kiungo wa zamani wa Yanga, Abdi Kassim ‘Babi’ ameibukia kwenye mazoezi ya timu hiyo jana yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Ngassa aibukia Yanga
mshambuliaji Mrisho Ngassa ameibukia katika klabu yake ya zamani, Yanga na kufanya mazoezi ili kujiweka fiti.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8RDDNK2-ip*TC28pPWBEbzyBXenImUfjIcfAVxqSmrJQmsztIgzT1QZu0hBS0qTXsEifhUceR4KjHv36POuft9H/YANGA7.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgjbOULGRYvQAoR96RkEYatO0Bykf8RItTFLuUzTSr9tAjh2k2ILt8k0BmuhTUxGKDoTiC3jlW0BL0*J2HZwQaVo/jaja.jpg)
Jaja aanza kazi Yanga, afanya balaa mazoezini
Straika mpya Yanga, Mbrazili, Genilson Santana Santos ‘Jaja’, Na Sweetbert Lukonge
STRAIKA mpya Yanga, Mbrazili, Genilson Santana Santos ‘Jaja’, tayari ameanza kuonyesha makeke yake baada ya kuonyesha uwezo mkubwa wa kuzifumania nyavu katika mazoezi ya timu hiyo yaliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sokondari Loyola, Mabibo, jijini Dar es Salaam, jana. Jaja, tangu atue hapa nchini Jumanne iliyopita...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Babi aukwaa unahodha
Kiungo wa Kimataifa wa Tanzania, Abdi Kassim ‘Babi’ amelamba dume baada ya kuteuliwa kuwa nahodha katika klabu yake ya UITM.FC.
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Kassim ‘Babi’ atua Malaysia, Bahanuzi njiani kumfuata
Kiungo Abdi Kasim ‘Babi’ amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea klabu ya UITM.FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Malaysia.
9 years ago
Habarileo27 Aug
Banda aumia mazoezini Uturuki
KIUNGO wa Simba, Abdi Banda anayekipiga katika kikosi cha Taifa Stars ameumia akiwa mazoezini nchini Uturuki. Kwa mujibu wa mtandao, Banda aliumia wakati wa mazoezi ya kukimbia kwa kasi yaliyokuwa yakiongozwa na Kocha Mkuu wa Stars, Charles Mkwasa na msaidizi wake, Hemed Morocco.
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Kiemba ‘amliza’ Matola mazoezini
Kocha msaidizi wa Simba, Suleiman Matola amesema kukosekana kwa kiungo Amri Kiemba ni pengo kubwa kwa klabu hiyo na kuutaka uongozi ufanye jitihada haraka kuziba nafasi hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmCEeup0IzIzVo3cbHr9*qj*GGF8yQr3fOfe7gPIHcKaPvPy0oI3SyKFP4jgFiuE9teXtAPKMRaJUM83r1JzGXJ/nyota.jpg?width=600)
Nyota 9 wayeyuka mazoezini Simba
Mshambuliaji wa simba,Betram Mwombeki. Na Martha Mboma
WACHEZAJI tisa wa Simba walishindwa kufika mazoezini kwenye Uwanja wa Kinesi, Shekilango jijini Dar, jana kutokana na sababu tofauti ikiwemo ya majeraha na matatizo ya kifamilia. Donald…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania