Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Babi aibukia mazoezini Yanga SC

>Kiungo wa zamani wa Yanga, Abdi Kassim ‘Babi’ ameibukia kwenye mazoezi ya timu hiyo jana yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ngassa aibukia Yanga

mshambuliaji Mrisho Ngassa ameibukia katika klabu yake ya zamani, Yanga na kufanya mazoezi ili kujiweka fiti.

 

11 years ago

GPL

Jaja aanza kazi Yanga, afanya balaa mazoezini

Straika mpya Yanga, Mbrazili, Genilson Santana Santos ‘Jaja’, Na Sweetbert Lukonge
STRAIKA mpya Yanga, Mbrazili, Genilson Santana Santos ‘Jaja’, tayari ameanza kuonyesha makeke yake baada ya kuonyesha uwezo mkubwa wa kuzifumania nyavu katika mazoezi ya timu hiyo yaliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sokondari Loyola, Mabibo, jijini Dar es Salaam, jana. Jaja, tangu atue hapa nchini Jumanne iliyopita...

 

11 years ago

Mwananchi

Babi aukwaa unahodha

Kiungo wa Kimataifa wa Tanzania, Abdi Kassim ‘Babi’ amelamba dume baada ya kuteuliwa kuwa nahodha katika klabu yake ya UITM.FC.

 

11 years ago

Mwananchi

Kassim ‘Babi’ atua Malaysia, Bahanuzi njiani kumfuata

Kiungo Abdi Kasim ‘Babi’ amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea klabu ya UITM.FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Malaysia.

 

9 years ago

Habarileo

Banda aumia mazoezini Uturuki

KIUNGO wa Simba, Abdi Banda anayekipiga katika kikosi cha Taifa Stars ameumia akiwa mazoezini nchini Uturuki. Kwa mujibu wa mtandao, Banda aliumia wakati wa mazoezi ya kukimbia kwa kasi yaliyokuwa yakiongozwa na Kocha Mkuu wa Stars, Charles Mkwasa na msaidizi wake, Hemed Morocco.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiemba ‘amliza’ Matola mazoezini

Kocha msaidizi wa Simba, Suleiman Matola amesema kukosekana kwa kiungo Amri Kiemba ni pengo kubwa kwa klabu hiyo na kuutaka uongozi ufanye jitihada haraka kuziba nafasi hiyo.

 

11 years ago

GPL

Nyota 9 wayeyuka mazoezini Simba

Mshambuliaji wa simba,Betram Mwombeki. Na Martha Mboma
WACHEZAJI tisa wa Simba walishindwa kufika mazoezini kwenye Uwanja wa Kinesi, Shekilango jijini Dar, jana kutokana na sababu tofauti ikiwemo ya majeraha na matatizo ya kifamilia. Donald…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani