Kassim ‘Babi’ atua Malaysia, Bahanuzi njiani kumfuata
Kiungo Abdi Kasim ‘Babi’ amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea klabu ya UITM.FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Malaysia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Breaking News: Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa Kassim!
Kassim Majaliwa
Tayari dakika chache zilizopita kutoka ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dk, John Pombe Magufuli ametuma jina la Waziri Mkuu, ambaye ni Kassim Majaliwa aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Jina hilo limefikishwa kwa mbwembwe likiwa ndani ya bahasha tatu huku likiwa limeandikwa kwa mkono. Kwa hatua hiyo sasa Bunge limeenda mapumziko na dakika chache kutoka sasa litarejea kwa ajili ya kupigia kura na wabunge...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Babi aukwaa unahodha
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Babi aibukia mazoezini Yanga SC
11 years ago
MichuziUbalozi wa Tanzania Malaysia wakutana na wafanyabiashara wa Malaysia (MEXPA)
11 years ago
GPLPICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Bahanuzi amwonyesha Dida
Said Bahanuzi
Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Said Bahanuzi, ameendeleza kuonesha cheche zake za kurejea kwenye moto wake wa mwaka juzi, kwani jana alimuonesha cha moto kipa wa timu hiyo, Deogratius Munishi ‘Dida’.
Bahanuzi alimpigia mashuti makali Dida, ambayo alishindwa kuyadaka, huku mawili kati ya hayo yakigonga mwamba wa juu na kujaa wavuni, jambo ambalo liliamsha hisia za mashabiki wa Yanga na kumsifia.
Mashabiki hao waliokuwa wakichungulia mazoezi ya Yanga kwa nje sambamba na MTANZANIA...
9 years ago
Habarileo11 Sep
Bahanuzi, Javu moto Mtibwa
WASHAMBULIAJI Said Bahanuzi na Hussein Javu wanatarajiwa kuwa mwiba mchungu kwa timu pinzani kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015-2016 inayotarajiwa kuanza kesho, kwa mujibu wa kocha Mecky Maxime.
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Bahanuzi, Omega hao Ndanda
11 years ago
GPLSIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000