Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Babi aukwaa unahodha

Kiungo wa Kimataifa wa Tanzania, Abdi Kassim ‘Babi’ amelamba dume baada ya kuteuliwa kuwa nahodha katika klabu yake ya UITM.FC.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rio: Rooney apewe unahodha

Rio Ferdinand anaamini kuwa mshambuliaji Wayne Rooney anafaa kuwa mrithi wa Steven Gerrard katika nafasi ya unahodha wa timu ya taifa ya England, lakini pia anaona ushindani uliopo kutoka kwa Joe Hart.

 

11 years ago

Mwananchi

Babi aibukia mazoezini Yanga SC

>Kiungo wa zamani wa Yanga, Abdi Kassim ‘Babi’ ameibukia kwenye mazoezi ya timu hiyo jana yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Kassim ‘Babi’ atua Malaysia, Bahanuzi njiani kumfuata

Kiungo Abdi Kasim ‘Babi’ amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea klabu ya UITM.FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Malaysia.

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE AUKWAA UKAMANDA CCM

Baadhi ya mastaa wa Bongo Muvi wakiwasili eneo la tukio, Wanachama wa CCM na watu wengine Wakiingia eneo hilo huku wakiwa wameongozana na Steve Nyerere Steve Nyerere akiwasalimia wananchi…

 

9 years ago

Habarileo

Mwenyekiti MRFA aukwaa umeya Moro

WAJUMBE wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, wamemchagua Diwani wa Kata ya Mazimbu Pascal Kihanga (CCM) kuwa Meya mpya wa Manispaa hiyo hadi mwaka 2020.

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown aukwaa msala mwingine tena

Chris-Brown-PNG

Chris Brown ni mtuhumiwa wa kumpiga na kumjeruhi mtu pamoja na wizi uliotokea Jumamosi iliyopita kwenye kiota cha Palms Casino Resort, jijini Las Vegas.

Chris-Brown-PNG

Polisi wanadaiwa kuitwa hapo asubuhi na walimkuta mwanamke aliyekuwa na majereha mwilini mwake kufuatia kupigwa.

Kwa mujibu wa The Hollywood Reporter, mwanamke huyo anadai kupigwa na Chris Brown baada ya kuchukua simu yake kupiga naye picha. Anadai kuwa muimbaji huyo alichukua simu yake.

Mwakilishi wa Brown alidai kuwa tuhuma hizo si za...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Azidi Kung’ara, Aukwaa Ubalozi Tena

Mrembo wa Tanzania, muigizaji na mjasiriamali Wema Sepetu, Amesign makubaliano ya kuwa Balozi wa Hospital ya Kimataifa ya macho Iliyopo Ali hassan mwinyi Road katika jengo la Tropical House.....

Mkataba huu ni wa mwaka mmoja.. Wema amehaidi kuwa balozi wa hospitali hiyo iliyokuja na mitambo mpya ambayo itawezesha vijana wenye umri chini ya miaka 35 wanaotumia miwani kuacha kabisa utumiaji wa miwani kwakuwa wanauwezo wa kuondoa swala la uvaaji miwani kwa vijana.

By Martin Kadinda, Meneja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani