Mwenyekiti MRFA aukwaa umeya Moro
WAJUMBE wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, wamemchagua Diwani wa Kata ya Mazimbu Pascal Kihanga (CCM) kuwa Meya mpya wa Manispaa hiyo hadi mwaka 2020.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWAJUMBE UVCCM MORO WAMKATAA MWENYEKITI WAO
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Babi aukwaa unahodha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmronSgXiG0aPL2NPHhQ92*zUoFIPmUf4WNp9v-gROLX3naVKIPCplXAvHXMX08orboEEnDIcER1D*K7r9RHiRw/1.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AUKWAA UKAMANDA CCM
9 years ago
Bongo504 Jan
Chris Brown aukwaa msala mwingine tena
![Chris-Brown-PNG](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Chris-Brown-PNG-300x194.png)
Chris Brown ni mtuhumiwa wa kumpiga na kumjeruhi mtu pamoja na wizi uliotokea Jumamosi iliyopita kwenye kiota cha Palms Casino Resort, jijini Las Vegas.
Polisi wanadaiwa kuitwa hapo asubuhi na walimkuta mwanamke aliyekuwa na majereha mwilini mwake kufuatia kupigwa.
Kwa mujibu wa The Hollywood Reporter, mwanamke huyo anadai kupigwa na Chris Brown baada ya kuchukua simu yake kupiga naye picha. Anadai kuwa muimbaji huyo alichukua simu yake.
Mwakilishi wa Brown alidai kuwa tuhuma hizo si za...
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Wema Azidi Kung’ara, Aukwaa Ubalozi Tena
Mrembo wa Tanzania, muigizaji na mjasiriamali Wema Sepetu, Amesign makubaliano ya kuwa Balozi wa Hospital ya Kimataifa ya macho Iliyopo Ali hassan mwinyi Road katika jengo la Tropical House.....
Mkataba huu ni wa mwaka mmoja.. Wema amehaidi kuwa balozi wa hospitali hiyo iliyokuja na mitambo mpya ambayo itawezesha vijana wenye umri chini ya miaka 35 wanaotumia miwani kuacha kabisa utumiaji wa miwani kwakuwa wanauwezo wa kuondoa swala la uvaaji miwani kwa vijana.
By Martin Kadinda, Meneja wa...
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo
![Belle99](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Belle99-300x194.jpg)
Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...
9 years ago
Habarileo20 Nov
5 wawania umeya
KINYANG’ANYIRO cha kumsaka Meya wa Jiji la Arusha kinashika kasi kwani madiwani watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameonesha nia ya kuwania kiti cha Umeya wa Jiji la Arusha.
9 years ago
Habarileo19 Nov
5 wawania umeya, makamu
MADIWANI watano kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lindi Mjini mkoani hapa, wamejitokeza kuchukua fomu na kurudisha wakiwania ridhaa ya chama hicho kugombea nafasi ya Meya na makamu wake kwenye uchaguzi utakaofanyika mwezi huu katika Manispaa ya Lindi.
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Umeya Kinondoni, Ilala mvurugano