5 wawania umeya
KINYANG’ANYIRO cha kumsaka Meya wa Jiji la Arusha kinashika kasi kwani madiwani watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameonesha nia ya kuwania kiti cha Umeya wa Jiji la Arusha.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Nov
5 wawania umeya, makamu
MADIWANI watano kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lindi Mjini mkoani hapa, wamejitokeza kuchukua fomu na kurudisha wakiwania ridhaa ya chama hicho kugombea nafasi ya Meya na makamu wake kwenye uchaguzi utakaofanyika mwezi huu katika Manispaa ya Lindi.
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Saba CCM wawania umeya Tabora
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wasomi 10,500 wawania nafasi 70
KATIKA hali inayoashiria ukubwa wa tatizo la ajira katika sekta rasmi nchini, wasomi 10,500 wa ngazi ya Chuo Kikuu jana walijitokeza kwenye usaili wa Idara ya Uhamiaji nchini inayohitaji kuajiri watu 70 tu.
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Uhamiaji, Mbweni wawania ubingwa
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Umeya waivuruga CCM, Chadema
Na Waandishi Wetu
UCHAGUZI wa umeya katika manispaa mbalimbali umedaiwa kuanza kukivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Kutokana na kuvurugwa huko, vyama hivyo vimeanza kulazimisha kutumia mbinu mbadala kuhakikisha vinashinda uchaguzi huo unaofanyika nchi nzima.
Moja ya mbinu wanazodaiwa kutumia ni kulazimisha wabunge wa viti maalumu kwenda kujisajili katika manispaa za mikoa mingine kama madiwani ili waweze kupiga kura katika uchaguzi wa...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Chadema, CCM wachuana umeya
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Umeya Kinondoni, Ilala mvurugano
10 years ago
Habarileo28 Feb
Kiama wawania Urais CCM leo
KAMATI Kuu ya CCM (CC) iliyosubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye inakutana leo na suala kubwa linalotarajiwa na wanachama na wananchi, ni tathmini ya hukumu ya vigogo sita wa chama, waliokuwa wakitumikia adhabu baada ya kubainika kuanza kampeni za urais mapema.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Sitta-2.jpg)
WAWANIA USPIKA WAANZA KUCHUKUA FOMU