Uhamiaji, Mbweni wawania ubingwa
Ligi Daraja la Kwanza ya netiboli inafikia ukingoni huku timu za Uhamiaji na JKT Mbweni zikishinda mechi zake walizocheza jana na juzi jioni na Polisi Kigoma na Polisi Shinyanga wakionekana kuvurunda kwenye ligi hiyo kutokana na kupoteza tena michezo yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMaelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
11 years ago
Michuzi29 Jul
9 years ago
Habarileo20 Nov
5 wawania umeya
KINYANG’ANYIRO cha kumsaka Meya wa Jiji la Arusha kinashika kasi kwani madiwani watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameonesha nia ya kuwania kiti cha Umeya wa Jiji la Arusha.
9 years ago
Habarileo19 Nov
5 wawania umeya, makamu
MADIWANI watano kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lindi Mjini mkoani hapa, wamejitokeza kuchukua fomu na kurudisha wakiwania ridhaa ya chama hicho kugombea nafasi ya Meya na makamu wake kwenye uchaguzi utakaofanyika mwezi huu katika Manispaa ya Lindi.
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wasomi 10,500 wawania nafasi 70
KATIKA hali inayoashiria ukubwa wa tatizo la ajira katika sekta rasmi nchini, wasomi 10,500 wa ngazi ya Chuo Kikuu jana walijitokeza kwenye usaili wa Idara ya Uhamiaji nchini inayohitaji kuajiri watu 70 tu.
10 years ago
Habarileo11 May
Bano awaonya wawania ubunge CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arusha kimewaonya makada wake waliojitokeza na kutangaza nia ya kuwania ubunge Jimbo la Arusha Mjini, kuacha tabia ya kuchafuana na kuanza kampeni kabla ya muda.
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Saba CCM wawania umeya Tabora
10 years ago
Habarileo28 Feb
Kiama wawania Urais CCM leo
KAMATI Kuu ya CCM (CC) iliyosubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye inakutana leo na suala kubwa linalotarajiwa na wanachama na wananchi, ni tathmini ya hukumu ya vigogo sita wa chama, waliokuwa wakitumikia adhabu baada ya kubainika kuanza kampeni za urais mapema.