Bano awaonya wawania ubunge CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arusha kimewaonya makada wake waliojitokeza na kutangaza nia ya kuwania ubunge Jimbo la Arusha Mjini, kuacha tabia ya kuchafuana na kuanza kampeni kabla ya muda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Jul
Wanachama 17 CCM wawania ubunge majimbo ya Dodoma
MAKADA 17 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania Ubunge katika Majimbo ya Dodoma Mjini, Mtera, Chilonwa, Mpwapwa na Kibakwe.
10 years ago
Habarileo10 Aug
Hatma ya wawania ubunge CCM wiki hii
CHAMA Cha Mpinduzi (CCM) kimeingia katika hatua za mwisho za mchakato wa kuwapata wagombea ubunge, uwakilishi na udiwani kwa majina yote kufikishwa kwenye vikao vya juu kabisa vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyofanyika mjini hapa ili kujadiliwa na hatimaye kupitishwa.
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Sita Chadema wawania ubunge jimboni Chalinze
10 years ago
Habarileo28 Feb
Kiama wawania Urais CCM leo
KAMATI Kuu ya CCM (CC) iliyosubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye inakutana leo na suala kubwa linalotarajiwa na wanachama na wananchi, ni tathmini ya hukumu ya vigogo sita wa chama, waliokuwa wakitumikia adhabu baada ya kubainika kuanza kampeni za urais mapema.
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Saba CCM wawania umeya Tabora
10 years ago
Mwananchi26 May
Rais Kikwete awaonya vijana wa CCM
11 years ago
Habarileo25 Feb
Balozi Seif awaonya viongozi Jumuiya za CCM
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Balozi Seif Ali Iddi, amesema Kamati Ndogo ya Maadili ya chama hicho, itawang’oa viongozi wote wa jumuiya za chama hicho, wanaoshirikiana na walioanza kampeni za urais kabla ya muda.
10 years ago
Michuzi11 Dec
KATIBU WA CCM MKOANI IRINGA AWAONYA WANAVYUO KUJIHUSISHA NA MASWALA YA SIASA




Na Fredy Mgunda, Iringa. Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Iringa HASSANI MTENGA, amefungua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa katika mtaa wa semtema mkoani Iringa.
Akiwahutubia mamia ya wananchi wa mtaa wa semtema...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Katibu wa CCM mkoani Iringa awaonya wanavyuo kujiusisha na maswala ya siasa
Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoani Iringa, HASSANI MTENGA akiwahutubia wananchi wa mataa wa Zemtema mjini Iringa.
Na Fredy Mgunda, Iringa
Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Iringa HASSANI MTENGA, amefungua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa katika mtaa wa semtema mkoani Iringa.
Akiwahutubia mamia ya wananchi wa mtaa wa Semtema MTENGA aliwataka wananchi wa eneo hilo kuwa makini wakati wa kuchagua kiongozi katika uchaguzi utakaofanyika tarehe 14/12/2014.
MTENGA alisema...