Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bano awaonya wawania ubunge CCM

Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz BaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arusha kimewaonya makada wake waliojitokeza na kutangaza nia ya kuwania ubunge Jimbo la Arusha Mjini, kuacha tabia ya kuchafuana na kuanza kampeni kabla ya muda.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wanachama 17 CCM wawania ubunge majimbo ya Dodoma

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaMAKADA 17 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania Ubunge katika Majimbo ya Dodoma Mjini, Mtera, Chilonwa, Mpwapwa na Kibakwe.

 

10 years ago

Habarileo

Hatma ya wawania ubunge CCM wiki hii

CHAMA Cha Mpinduzi (CCM) kimeingia katika hatua za mwisho za mchakato wa kuwapata wagombea ubunge, uwakilishi na udiwani kwa majina yote kufikishwa kwenye vikao vya juu kabisa vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyofanyika mjini hapa ili kujadiliwa na hatimaye kupitishwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Sita Chadema wawania ubunge jimboni Chalinze

 Wanachama sita wa Chadema wamechukua fomu kuwania Ubunge wa Jimbo la Chalinze, Mkoa wa Pwani katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika mapema Aprili, mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Kiama wawania Urais CCM leo

Kamati Kuu ya CCM.KAMATI Kuu ya CCM (CC) iliyosubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye inakutana leo na suala kubwa linalotarajiwa na wanachama na wananchi, ni tathmini ya hukumu ya vigogo sita wa chama, waliokuwa wakitumikia adhabu baada ya kubainika kuanza kampeni za urais mapema.

 

9 years ago

Mwananchi

Saba CCM wawania umeya Tabora

Madiwani saba wamejitokeza kuwania umeya wa Manispaa ya Tabora, huku watano wakiutaka unaibu meya ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete awaonya vijana wa CCM

>Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana wa  CCM kutokuwa makuwadi na madalali wa wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Balozi Seif awaonya viongozi Jumuiya za CCM

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Balozi Seif Ali Iddi, amesema Kamati Ndogo ya Maadili ya chama hicho, itawang’oa viongozi wote wa jumuiya za chama hicho, wanaoshirikiana na walioanza kampeni za urais kabla ya muda.

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU WA CCM MKOANI IRINGA AWAONYA WANAVYUO KUJIHUSISHA NA MASWALA YA SIASA

katibu wa chama cha mapinduzi mkoani Iringa, HASSANI MTENGA akiwahutubia wananchi wa mataa wa semtema mjini iringa  wananchi wa mtaa wa semtema wakimsikiliza katibu wa  ccm mkoa HASSAN MTENGA hapa wakiwa makini wakisikiliza maneno matamu wakati wa mkutano huo
Na Fredy Mgunda, Iringa. Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Iringa HASSANI MTENGA, amefungua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa katika mtaa wa semtema  mkoani Iringa.

Akiwahutubia mamia ya wananchi wa mtaa wa semtema...

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu wa CCM mkoani Iringa awaonya wanavyuo kujiusisha na maswala ya siasa

IMG_20141209_163002

Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoani Iringa, HASSANI MTENGA akiwahutubia wananchi wa mataa wa Zemtema mjini Iringa.

Na Fredy Mgunda, Iringa

Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Iringa HASSANI MTENGA, amefungua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa katika mtaa wa semtema  mkoani Iringa.

Akiwahutubia mamia ya wananchi wa mtaa wa Semtema MTENGA aliwataka wananchi wa eneo hilo kuwa makini wakati wa kuchagua kiongozi katika uchaguzi utakaofanyika tarehe 14/12/2014.

MTENGA alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani