Rais Kikwete awaonya vijana wa CCM
>Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana wa CCM kutokuwa makuwadi na madalali wa wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s72-c/_MG_6315.jpg)
RAIS WA ZIMBABWE ROBERTY MUGABE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA AFRIKA NA CHINA,RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA .
![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s1600/_MG_6315.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w_qQH8e8P1E/VRbgPh0cAvI/AAAAAAAHN5g/1Zv8BQkIGFc/s1600/_MG_6291.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BjbF-KM_Q-4/VRbVSuxesGI/AAAAAAAC2eM/l86bvXxpXAk/s1600/_MG_6213.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Sadik awaonya vijana
MKUU wa Mkoa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amewataka vijana kujiepusha na mapenzi ya kunyonyana ulimi kwa sababu njia hiyo inatajwa kuwa chanzo cha maambukizi wa Homa ya Ini...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZSu4J_XV1L4/default.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aAkh_1ON7VA/Uu3r0WRVxyI/AAAAAAACZ24/g2jqv0AR71o/s72-c/16.jpg)
MWENYEKITI WA CCM,RAIS KIKWETE AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO YA MIAKA 37 YA CCM JIJINI MBEYA,KUHUTUBIA TAIFA MCHANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aAkh_1ON7VA/Uu3r0WRVxyI/AAAAAAACZ24/g2jqv0AR71o/s1600/16.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uexNHLzE2Ao/VZATxtb6EhI/AAAAAAADtws/C_E8KTcLKMo/s72-c/ccm1.jpg)
MWENYEKITI WA CCM RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-uexNHLzE2Ao/VZATxtb6EhI/AAAAAAADtws/C_E8KTcLKMo/s640/ccm1.jpg)
10 years ago
Habarileo21 Aug
Kikwete awaonya Ulanga
RAIS Jakaya Kikwete amewatahadharisha wananchi wa Wilaya ya Ulanga kuwa wakizidi kulumbana kuhusu mipaka ya kuigawa wilaya hiyo bila kufikia maafikiano, watakosa wilaya mpya licha ya kuwa sehemu ya ahadi aliyotoa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2010.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOH9GqvqQng/Uu0mAtmicVI/AAAAAAACZ1E/Y4a_6Ciud3Q/s72-c/4.jpg)
MWENYEKITI WA CCM,RAIS JAKAYA KIKWETE AWASILI JIJINI MBEYA JIONI YA LEO TAYARI KWA KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM KESHO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOH9GqvqQng/Uu0mAtmicVI/AAAAAAACZ1E/Y4a_6Ciud3Q/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N4kxCfEFURw/Uu0mCWkXhsI/AAAAAAACZ1U/b-ceBti8L2c/s1600/6.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Kikwete awaonya viongozi wa dini
Na Kadama Malunde, Shinyanga
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kutoruhusu siasa kufanyika kwenye makanisa yao kwani hali hiyo italifanya taifa liingie kwenye machafuko.
Aliyasema hayo jana wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu mpya wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Liberatus Sangu, iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mama Mwenye Huruma la Ngokolo mjini hapa na kuongozwa na Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo.
Rais Kikwete...